Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limemwomba Rais John Magufuli kumshughulikia Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Mae...
Serikali yahakiki vyeti vya ndoa, walimu wajiandaa kugoma
Gazeti la Tanzania Daima l i meripoti kuwa Serikali imeanza uhakiki wa vyeti vya ndoa kwa watumishi wa umma. Hatua hiyo amba...
Lowassa, Sumaye Waibukia Bungeni Dodoma
Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye leo asubuhi wamehudhu...
Makamu wa Rais apiga marufuku uharibifu wa mazingira nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku uharibifu mkubwa wa mazingira unaoendele...
Polisi Kutoa Taarifa Ya Kifo Cha Mwanamasumbwi Thomas Mashali Siku Ya Jumatano
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuwa wanaendelea na upelelezi kufuatia kuuawa kwa mwanamasumbwi Thomas ...
UKOCHA: Pluijm Amwaga Mboga Yanga
Usemi wa Waswahili kuwa, ukimwaga ugali, nami namwaga mboga umetimia kwa klabu ya soka ya Yanga ambayo licha ya uongozi wak...
Baba aua mwanawe kisa kufungua redio kwa Sauti Kubwa
BABA mmoja mkazi wa Kijiji cha Maji ya Moto, Wilaya ya Arumeru mkoani hapa, Wilfred Kivuyo amemuua mtoto wake baada ya kumch...
Waraka wa Lowassa: Uchambuzi wa Serikali ya Magufuli mwaka mmoja baada ya Uchaguzi
Tarehe Kama ya leo mwaka Jana, ilikuwa siku muhimu sana kwa watanzania na Mimi binafsi.Niliwaongoza watanzania kupiga kura niki...
Wazanzibari 40,000 Wafungua kesi Mahakamani Kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umeingia kwenye jaribio jingine, baada ya Wazanzibari 40,000 kufungua kesi mahakamani k...
Asilimia 90 ya Wanafunzi kupata Fedha zao za Mikopo Kesho
Wakati baadhi ya wanafunzi wa elimu ya juu wakiendelea kusubiri kupata mikopo yao, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hadi kuf...
Umeya Kinondoni: CHADEMA Wafungua Kesi Mahakamani, Wadai Uchaguzi Haukuwa Halali
Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamekimbilia mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa umeya na naibu meya wa ...
Rais Magufuli Ateuliwa kuwania tuzo ya Forbes kwa watu maarufu barani Afrika
Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameingia katika listi ya watu ambao wametajwa kuwania tuzo ya Person Of The Year 2...
Tanzania Yapata Mkopo Wenye Masharti Nafuu Wa Zaidi Ya Shilingi Bilioni 300 Kutoka Benki Ya Maendeleo Ya Afrika (Afdb) Na Serikali Ya Korea
Benny Mwaipaja, WFM, Seoul, Korea TANZANIA, Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Korea ya Kusini zimetiliana saini makubali...
Thomas Ulimwengu Aondoka TP Mazembe, Afuata Ndoto zake Kucheza Ulaya
Baada ya kucheza misimu mitano kwenye klabu ya TP Mazembe, mchezaji wa Taifa Stars, Thomas Ulimwengu ameondoka kufuata ndot...