0


Wadau wa muziki wa bongofleva nadhan wote mnaelewa kuhusu ushindani unaoendelea kati ya wanamuziki machachari kabisa nchini..katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nimeona meneja wa gwiji wa huu muziki Diamond platnumz ameandika kwamba anaelekea mombasa ambako gwiji Alikiba atapafomu akiwa pamoja na Chris brown kutoka America na wizkid,na kwa maoni ya watu wengi wanasema kwamba Sallam anaenda kumnasa Chris brown ili afanye kolabo na Chibu kama kipindi kile kwa Neyo..Nikiwa kama mpenzi bongofleva naomba kingkiba afanye kitu kuhusu kolabo na CB na asichezee bahati..

Post a Comment Blogger

 
Top