Serikali inatekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli la kuhakikisha viwanda vilivyobinafsishwa vinafanya...
Rais Magufuli ampa shavu la nguvu aliyekuwa mkurugenzi NSSF Dk Ramadhani Dau
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 14 Septemba, 2016 amemuapisha Dkt. Ramadhani Kitwana Dau kuwa B...
Edward Lowassa ampongeza Rais Pombe Magufuli
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa amempongeza Rais Magufuli kwa kuondoa urasimu katika ta...
Mwanamke ashikiliwa kwa kuiba mtoto wa mwezi mmoja
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanamke mmoja, Anna Luambano (33) mkazi wa Kipawa jijini Dar es Salaam,kwa tuhuma za kuiba mt...
Bungeni: Serikali kuanza kuwalipa wazee wa miaka 70 na kuendelea sh 20,000 kila mwezi
#BUNGENI:Serikali ipo mbioni kuanza kuwalipa wazee pensheni bila kujali shughuli waliyokuwa wakifanya siku za nyuma. Naibu Waziri wa Ajira, ...
Rais Magufuli amwapisha Dkt Dau pamoja na makatibu tawala wa mikoa mitatu ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 14 Septemba, 2016 amemuapisha Dkt. Ramadhani Kitwana Dau kuwa B...
Waziri mkuu Kassim Majaliwa awataka Watanzania kudumisha amani
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaomba viongozi wa dini zote kutumia nyumba za ibada kuwahamasisha waumini wao umuhimu wa kulinda na kudumish...
Majambazi yavamia magari ya mnadani na kumuua dereva mmoja kwa Risasi
Majambazi wapatao 10 juzi usiku walivamia magari mawili yaliyobeba wafanyabiashara waliokuwa wakitokea mnadani na kumuua kwa risasi, dereva ...
Rais Kenyatta, Mbowe watoa msaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi kagera
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta amezungumza kwa njia ya simu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ku...
Wakurugenzi wapya 13 waapishwa , watakiwa kufuatilia maagizo ya viongozi
Wakurugenzi wapya 13 wa halmashauri wameapa kulinda maadili na kukabidhiwa majukumu ya kufuatilia maagizo ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri ...
Serikali yasema waliosoma shahada za sayansi watapewa mafunzo ya muda mfupi ya ualimu ili kukabiliana na upungufu wa walimu
u Na Beatrice Lyimo-MAELEZO, Dodoma Serikali imeanza kupanga walimu wa sayansi moja kwa moja katika shule badala ya Halmashauri kama ilivyok...
Wanafunzi wawacharaza viboko walimu wao., mmoja ang'olewa meno matano mwingine ngeu kichwani
Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako Wawanafunzi wa Kidato cha Sita Shule ya Sekondari Usevya wilayani Mlele Mkoa wa Katavi, wanadaiwa kuw...
Waziri mkuu Kassim Majaliwa apokea zaidi ya sh. bil. 1.4 kwaajili ya maafa ya tetemeko Kagera
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea michango wa zaidi ya sh. bilioni 1.4 kutoka kwa mabalozi wa nchi za nje nchini Tanzania na Jumuia ya Wa...