0

Newcastle ilijifurukuta na kuvunja rekodi ya kushinda mechi zote msimu huu iliyokuwa imewekwa na Man united.
Chini ya mkufunzi Steve MClaren, Newcastle United ilikaza buti na kuwanyima washambuliaji wa manchester fursa ya kushambulia lango lao.
Aidha vijana hao wa Mclaren walijizolea alama yao ya pili msimu huu.
Vijana wa kocha Louis van Gaal hata hivyo walitamaushwa na kauli ya refarii aliyepuliza kipenga na kuashiria bao la mshambulizi Wayne Rooney kuwa halikufaa na kuwa alikuwa ameotea
Nusura Newcastle wafunge bao la kwanza kupitia mkwaju wa Aleksander Mitrovic uliogonga mwamba wa lango baada ya kuwapita walinzi na kipa wa manchester.
Mshambulizi huyo wa Serbia aliwaacha walinzi wa manchester hoi.
Muda mchache baadaye nipe nikupe kati ya washambulizi wa Manchester nusura izae matunda isipokuwa tu juhudi za Tim Krul wa Newcastle aliyezima kombora la Javier Hernandez.
Mashambulizi hayakuishia hapo, vijana wa van Gaal waliendelea kushambulia lango la Newcastle hadi dakika ya mwisho dakika tano za ziada Chris Smalling alipogonga mchuma wa
Newcastle sekunde chache tu kabla ya mechi hiyo kumalizika.
Man Utd 0 - 0 Newcastle
Mpira umekwisha
90:30 Muda wa kawaida umekwisha hapa Old Trafford na hakuna aliyeona lango la mwenziwe matokeo bado ni
Man Utd 0-0 Newcastle
88:30
Newcastle United.
Papiss Demba Cissé anachukua nafasi ya Aleksandar Mitrovic.
86:43
Man Utd 0 - 0 Newcastle
Free kick kuelekea lango la Man United
Jack Colback (Newcastle United)
85:13
Kona
Manchester United. Chancel Mbemba.
Man Utd 0 - 0 Newcastle
83:14
Man Utd 0 - 0 Newcastle
72:20


Juan Mata (Manchester United) anafyatua mkwaju lakini wapi !!!
68:57 Newcastle United.
Florian Thauvin anaingia kuchukua nafasi ya Gabriel Obertan.
66:56
Manchester United. Javier Hernández anachukua nafasi ya Adnan Januzaj.
 

Post a Comment Blogger

 
Top