0
Shirikisho la soka barani ulaya, UEFA limetangaza majina matatu ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora msimu ulioisha ndani ya mipaka ya bara hilo.

Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Luis Suarez ndio waliofanikiwa kuingia kwenye tatu bora itakayopigiwa kura mpaka kupatikana kwa mshindi wa tuzo hiyo mwaka huu.

Messi na Suarez wanatoka katika klabu moja ya FC Barcelona na waliweza kutwaa makombe matatu msimu uliopita huku Ronaldo alitwaa tuzo hiyo msimu uliopita akiibuka mfungaji wa La Liga msimu uliopita kwa kufunga magoli zaidi ya 40.

Post a Comment Blogger

 
Top