0
Picha hizi Zinasambaa Mtandaoni hasa Instagram zikimuonyesha Mwanamke akiwa hivyo

Inasemekana Mwanamke huyo amekutwa ndani ya chemba (sewage) ya Mkazi/Mfanyabiashara Mchagga wa Kibamba aliyejulikana kwa jina la Mtei. Amefikaje? Haikufahamika ila walisikika wananchi wakisema ni msukule.dunia ina mambo hii duuuuu

Tunafatilia Habari Kamili kisa cha huyo dada kuishi ndani ya Shimo la choo..
ANDIKA MAONI YAKO HAPA CHIN

Post a Comment Blogger

 
Top