0
Mwanzilishi mwenza Roc-A-Fella Records aeleza alivyochukulia dongo la Kanye West la Jay Z
Mwanzilishi mwenza Roc-A-Fella Records aeleza alivyochukulia dongo la Kanye West la Jay Z

Mwanzilishi mwenza wa label ya Roc-A-Fella Records, Kareem ‘Biggs’ Burke amezungumzia dongo la Kanye West kwa swahiba wake, Jay Z. “Nil...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Ciara na Russell Wilson wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza
Ciara na Russell Wilson wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza

Ciara na mumewe Russell Wilson wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza – kwa mujibu wa mtandao wa E! News. Mmoja wa watu wa karibu wa fam...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
 Nyerere Day: Mastaa wa muziki na filamu wamuenzi Mwalimu Nyerere kwa nukuu hizi
Nyerere Day: Mastaa wa muziki na filamu wamuenzi Mwalimu Nyerere kwa nukuu hizi

Leo watanzania wanaadhimisha miaka 17 toka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amefariki dunia. Alifariki tarehe 14 Oktoba, 19...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Picha: Tunda Man afanya ‘Send-off’ na mrembo huyu
Picha: Tunda Man afanya ‘Send-off’ na mrembo huyu

Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection, Tunda Man pamoja na mpenzi wake wa muda mrefu wamefanya ‘send-off’ wakijiandaa kuingia katika ...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Picha: Barakah The Prince aonyesha mjengo wake wa kisasa
Picha: Barakah The Prince aonyesha mjengo wake wa kisasa

Msanii wa muziki, Barakah The Prince ameonyesha mafanikio aliyopata kwenye muziki kwa kujenga nyumba kubwa yenye vyumba 5 huku nje akiwa a...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Diamond Afunguka Asema Zari Ndiye Model Aliyewahi Kumlipa Hela Nyingi
Diamond Afunguka Asema Zari Ndiye Model Aliyewahi Kumlipa Hela Nyingi

Mkali wa wimbo ‘Salome’ na Mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amesema katika ma Model ambao amewahi kuwalipa hela nyingi ni Zari ambaye ni...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Hacker achukua account ya Instagram ya mwanamuziki chege ampiga mkwala wa nguvu na kumpa masharti haya
Hacker achukua account ya Instagram ya mwanamuziki chege ampiga mkwala wa nguvu na kumpa masharti haya

Account ya Chege Chigunda imehakiwa na Hacker leo na Hacker huyo ametoa msimamo wake kama alivyoandika kupitia Instagram Account hiyo ya Che...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Future kutumbuiza MTV MAMA pamoja na Diamond na Alikiba
Future kutumbuiza MTV MAMA pamoja na Diamond na Alikiba

Rapper wa Marekani, Future, ametangazwa kuwa msanii wa nje ya Afrika atakayetumbuiza kwenye tuzo za MTV MAMA, Oktoba 22. Future ataungana na...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Nuh Mziwanda azinguana na uongozi wake adai viongozi wanataka umaarufu tu kuliko kazi
Nuh Mziwanda azinguana na uongozi wake adai viongozi wanataka umaarufu tu kuliko kazi

Mkali wa wimbo ‘Jike Shupa’ Nuh Mziwanda amezinguana na uongozi wake ambao alikuwa anafanya nao kazi kwa madai umeshindwa kufanya kazi aliyo...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Agness masogange aamua kupima ukimwi na kutuonyesha kukata mzizi wa fitna
Agness masogange aamua kupima ukimwi na kutuonyesha kukata mzizi wa fitna

Baada ya Mrembo Tunda kuanika Majibu yake ya Ngoma tukayaona...Agnes Masogange nayeye awafunga midomo walikuwa wakimsema ana Ugonjwa...Aanik...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Kupatwa kwa Mrembo Huddah azama kimapenzi kwa mchaga
Kupatwa kwa Mrembo Huddah azama kimapenzi kwa mchaga

Haya jamani yule Sosholaiti wa Kenya kazama kwa Mchaga wa Kishumundu (Sina uhakika). Kaka huyo ajulikanaye kama Danford Kessy amemteka mremb...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Alikiba atajwa kuwania tuzo za MTV EMA diamond aachwa mwaka huu
Alikiba atajwa kuwania tuzo za MTV EMA diamond aachwa mwaka huu

Anakuwa msanii pekee kutoka Afrika Mashariki kutajwa kuwania kipengele hicho. Kiba atachuana na wasanii wengine wakiwemo Wizkid na Olamide w...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Ray c ashindwa kuvumilia jinsi anavyompenda Diamond afunguka asema hivi
Ray c ashindwa kuvumilia jinsi anavyompenda Diamond afunguka asema hivi

Ray C Ashindwa Kuvumilia Anavyompenda Diamond....Aamua kufunguka kama hivi kupitia mtandao wa Instagram: From Rayc1982  - Seriously Namaste ...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Vanessa mdee afunguka kwa Mara ya kwanza kutoka kimapenzi na Trey Songz
Vanessa mdee afunguka kwa Mara ya kwanza kutoka kimapenzi na Trey Songz

Kuna tetesi, picha na video zimesambaa mtandaoni zinazoonesha ukaribu kati ya nyota wa muziki wa R&B nchini Marekani, Trey Songz na Vane...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Baada ya kuzushiwa kifo bilionea Dangote ameyasema haya
Baada ya kuzushiwa kifo bilionea Dangote ameyasema haya

Bilionea namba moja barani Afrika, Aliko Dangote amekanusha uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki dunia akiwa nchini Uj...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Baada ya Kusimangwa Mtandaoni Kuwa Anafanya Umalaya Mrembo Tunda Apima Ukimwi na Kuonesha Majibu Hadharani
Baada ya Kusimangwa Mtandaoni Kuwa Anafanya Umalaya Mrembo Tunda Apima Ukimwi na Kuonesha Majibu Hadharani

Mrembo wa Nguvu na Mcheza Video Tunda amechukua maamuzi magumu ya kwenda kupima ngoma na kutundika majibu yake mtandaoni baada ya baadhi ya...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Pamoja na Drama Zote Alizompa Sugu...FAIZA Ally Anampenda Mbunge Sugu Kupindukia...Soma Alichoandika Hapa
Pamoja na Drama Zote Alizompa Sugu...FAIZA Ally Anampenda Mbunge Sugu Kupindukia...Soma Alichoandika Hapa

Msanii wa filamu, Faiza Ally wakati inaelekea siku ya birthday ya mtoto wake Sasha, amefunguka na kueleza yamoyoni juu ya baba watoto wake,...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Familia ya Diamond Yaikacha Sherehe ya Birthday ya Zari Iliyofanyika Zanzibar...Mabifu Yaibuka Upya
Familia ya Diamond Yaikacha Sherehe ya Birthday ya Zari Iliyofanyika Zanzibar...Mabifu Yaibuka Upya

MWISHONI mwa wiki iliyopita (juzi Ijumaa usiku) ilifanyika pati ya kusherehekea kuzaliwa kwa mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond P...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Drake ameachia filamu yake mpya aliyoahidi kuiachia Septemba 30
Drake ameachia filamu yake mpya aliyoahidi kuiachia Septemba 30

Rapper Drake ameachia filamu yake mpya fupi yenye dakika 23 ya Please Forgive Me ambayo imetokana na albamu yake ya ‘Views’. Filamu hiyo i...

Read more »walumitz.blogspot.com

0
Young Killer kufunga ndoa muda wowote
Young Killer kufunga ndoa muda wowote

Rapper Young Killer Msodoki amesema muda wowote kuanzia sasa atafunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Halimaty. Akiongea na Bongo5 Jumapi...

Read more »walumitz.blogspot.com
 
 
Top