Mwanzilishi mwenza wa label ya Roc-A-Fella Records, Kareem ‘Biggs’ Burke amezungumzia dongo la Kanye West kwa swahiba wake, Jay Z. “Nil...
Ciara na Russell Wilson wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza
Ciara na mumewe Russell Wilson wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza – kwa mujibu wa mtandao wa E! News. Mmoja wa watu wa karibu wa fam...
Nyerere Day: Mastaa wa muziki na filamu wamuenzi Mwalimu Nyerere kwa nukuu hizi
Leo watanzania wanaadhimisha miaka 17 toka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amefariki dunia. Alifariki tarehe 14 Oktoba, 19...
Picha: Tunda Man afanya ‘Send-off’ na mrembo huyu
Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection, Tunda Man pamoja na mpenzi wake wa muda mrefu wamefanya ‘send-off’ wakijiandaa kuingia katika ...
Picha: Barakah The Prince aonyesha mjengo wake wa kisasa
Msanii wa muziki, Barakah The Prince ameonyesha mafanikio aliyopata kwenye muziki kwa kujenga nyumba kubwa yenye vyumba 5 huku nje akiwa a...
Diamond Afunguka Asema Zari Ndiye Model Aliyewahi Kumlipa Hela Nyingi
Mkali wa wimbo ‘Salome’ na Mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amesema katika ma Model ambao amewahi kuwalipa hela nyingi ni Zari ambaye ni...
Hacker achukua account ya Instagram ya mwanamuziki chege ampiga mkwala wa nguvu na kumpa masharti haya
Account ya Chege Chigunda imehakiwa na Hacker leo na Hacker huyo ametoa msimamo wake kama alivyoandika kupitia Instagram Account hiyo ya Che...
Future kutumbuiza MTV MAMA pamoja na Diamond na Alikiba
Rapper wa Marekani, Future, ametangazwa kuwa msanii wa nje ya Afrika atakayetumbuiza kwenye tuzo za MTV MAMA, Oktoba 22. Future ataungana na...
Nuh Mziwanda azinguana na uongozi wake adai viongozi wanataka umaarufu tu kuliko kazi
Mkali wa wimbo ‘Jike Shupa’ Nuh Mziwanda amezinguana na uongozi wake ambao alikuwa anafanya nao kazi kwa madai umeshindwa kufanya kazi aliyo...
Agness masogange aamua kupima ukimwi na kutuonyesha kukata mzizi wa fitna
Baada ya Mrembo Tunda kuanika Majibu yake ya Ngoma tukayaona...Agnes Masogange nayeye awafunga midomo walikuwa wakimsema ana Ugonjwa...Aanik...
Kupatwa kwa Mrembo Huddah azama kimapenzi kwa mchaga
Haya jamani yule Sosholaiti wa Kenya kazama kwa Mchaga wa Kishumundu (Sina uhakika). Kaka huyo ajulikanaye kama Danford Kessy amemteka mremb...
Alikiba atajwa kuwania tuzo za MTV EMA diamond aachwa mwaka huu
Anakuwa msanii pekee kutoka Afrika Mashariki kutajwa kuwania kipengele hicho. Kiba atachuana na wasanii wengine wakiwemo Wizkid na Olamide w...
Ray c ashindwa kuvumilia jinsi anavyompenda Diamond afunguka asema hivi
Ray C Ashindwa Kuvumilia Anavyompenda Diamond....Aamua kufunguka kama hivi kupitia mtandao wa Instagram: From Rayc1982 - Seriously Namaste ...
Vanessa mdee afunguka kwa Mara ya kwanza kutoka kimapenzi na Trey Songz
Kuna tetesi, picha na video zimesambaa mtandaoni zinazoonesha ukaribu kati ya nyota wa muziki wa R&B nchini Marekani, Trey Songz na Vane...
Baada ya kuzushiwa kifo bilionea Dangote ameyasema haya
Bilionea namba moja barani Afrika, Aliko Dangote amekanusha uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki dunia akiwa nchini Uj...
Baada ya Kusimangwa Mtandaoni Kuwa Anafanya Umalaya Mrembo Tunda Apima Ukimwi na Kuonesha Majibu Hadharani
Mrembo wa Nguvu na Mcheza Video Tunda amechukua maamuzi magumu ya kwenda kupima ngoma na kutundika majibu yake mtandaoni baada ya baadhi ya...
Pamoja na Drama Zote Alizompa Sugu...FAIZA Ally Anampenda Mbunge Sugu Kupindukia...Soma Alichoandika Hapa
Msanii wa filamu, Faiza Ally wakati inaelekea siku ya birthday ya mtoto wake Sasha, amefunguka na kueleza yamoyoni juu ya baba watoto wake,...
Familia ya Diamond Yaikacha Sherehe ya Birthday ya Zari Iliyofanyika Zanzibar...Mabifu Yaibuka Upya
MWISHONI mwa wiki iliyopita (juzi Ijumaa usiku) ilifanyika pati ya kusherehekea kuzaliwa kwa mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond P...
Drake ameachia filamu yake mpya aliyoahidi kuiachia Septemba 30
Rapper Drake ameachia filamu yake mpya fupi yenye dakika 23 ya Please Forgive Me ambayo imetokana na albamu yake ya ‘Views’. Filamu hiyo i...
Young Killer kufunga ndoa muda wowote
Rapper Young Killer Msodoki amesema muda wowote kuanzia sasa atafunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Halimaty. Akiongea na Bongo5 Jumapi...