0
Nay wa Mitego akihojiwa na kipindi cha Leo tena clouds radio kasema ni mengi sana yalitokea lakini hakuyaongea na alimpenda kwa dhati binti huyo na alikua na mipango nae mikubwa...
Amedai Siku Ambayo alimfumania Mchumba wake Kitandani akiwa na mwanaume mwingine huyo Mwanaume alikuwa amevaa Kaptula ya ndani (Boxer) yake...

Tukio hilo lilitokea Mwaka jana ambao kwa sasa wawili hao wameshaachana na kila mmoja akiwa na maisha yake...

Post a Comment Blogger

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top