0




Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa dhati Kabisa kama Kijana &  Kada  mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi  ninaetambua juhudi/Jitihada zako unazozionyesha kila siku iitwapo leo za kuwaletea Maendeleo Wananchi wako napenda kukupongeza kwa Kutimiza Ahadi yako ya kufufua Shirika la Ndege la Taifa " ATCL" kwa kununua Ndege Mbili Mpya na leo tumepokea Ndege ya Pili.

Sasa Watanzania Wote wamejionea wenyewe na Ulimwengu umejionea wenyewe ya Kwamba   Tanzania Mpya yaja.

Mheshimiwa Rais Hongera sana na Mungu akubariki, Akulinde na kukujaalia Afya njema ili ukatimize vyema Majukumu yako ya kuwatumikia Watanzania kwa Kuwaletea Maendeleo.

Robert PJN Kaseko
Mjumbe Baraza Kuu UVCCM Mkoa wa Arusha
September 27, 2016.

Post a Comment Blogger

 
Top