
Baada ya kufanya collabo na Diamond ‘Number 1 remix’ ambayo ilimuongezea mashabiki wa Bongo, muimbaji wa Nigeria, Davido amethibitisha kuwa amefanya collabo na msanii mwingine mkubwa wa Tanzania, naye si mwingine bali ni Alikiba a.k.a King Kiba.
Akizungumza na Ayo TV katika Red Carpet ya tuzo za MAMA, Davido hakutoa maelezo mengi juu ya collabo hiyo zaidi ya kusema kuwa itatoka hivi karibuni.
“I have a song coming out with Alikiba too, that’s gonna be crazy” alisema Davido.
Tunaisubiri kwa hamu collabo hiyo.
Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.