0

Kila tarehe 13 mwezi Agosti ya kila mwaka ni siku ya watu wanaotumia mkono wa kushoto. Watu wanaoandika na kufanya vitu vingine kwa kutumia mkono wa kushoto si wengi sana dunia. Hivi hapa ni baadhi ya vitu ambavyo huenda huvifahamu kuhusu watu wanaotumia mkono wa kushoto kwenye shughuli zao.

1.) Takribani asilimia 10 ya watu wote duniani hutumia mkono wa kushoto, na idadi hii imebaki hapo hapo kwa miaka mingi sana. Wanaume ndio wengi hutumia mkono wa kushoto.

2.) Kihistoria, watu wanaotumia mkono wa kushoto huchukuliwa kama ni wanyonge ambapo baadhi ya maeneo kutumia mkono wa kushoto kunahusishwa na imani za kishirikina.

3.) Kumsalimia mtu kwa kutumia mkono wa kushoto ni ishara ya kukosa maadili. Hii ilitokana na kipindi cha miaka mingi ya nyuma watu walianza kutumia mkono wa kushoto kutawaza wanapokwenda chooni.

4.) Pete ya ndoa ambayo  huvaliwa katika kidole cha tatu cha mkono wa kushoto, ilianza kuvaliwa Ugiriki na Roma ili kujikinga na mabaya yaliyokuwa yakihusishwa na mkono matumizi ya kushoto.

5.) Bingwa wa mchezo wa Tenesi, Rafael Nadal alijibadilisha na kuanza kutumia mkono wa kushoto, na kuna imani kuwa kocha wake aliamini ingemsaidia akienda mahakamani.

6.) Neno ‘mrengo wa kushoto’ lilivumbuliwa miaka ya 1790 wakati mwakilishi wa kijamaa katika bunge la Ufaransa alipokaa upande wa kushoto.

7.) Wakristo wanahusisha upande wa kushoto na upande wenye mambo mabaya kama wanavyosema siku ya mwisho wanaokwenda jehanamu watakaa mkono wa kushoto.

8.) Katika filamu ya  The Simpsons, Ned Flander alitengeneza duka lililokuwa likiuza vifaa vya watu wanaotumia mkoa wa kushoto pekee.

9.) Katika mchezo wa masumbwi au kikapu, watu wanaoutumiwa mkono wa kushoto hufahamika kama ‘Southpaws’ likimaanisha mtu anayetumia mkono wa kushoto.

10.) Kati ya marais 7 wa mwisho wa Marekani, 5 wanatumia mkono wa kushoto Gerald Ford, Ronald Reagan, George H.W. Bush, Bill Clinton, na Barack Obam

Post a Comment Blogger

 
Top