0
Zari the Bosslady hataki kutumia ukubwa wa ujauzito wake kukwepa mazoezi.

Mama kijacho akiwa kwenye gym iliyopo kwenye ikulu ya mchumba wake Diamond

Mrembo huyo ambaye mwezi huu anaweza kumfanya Diamond awe baba kwa mara ya kwanza, amepost picha Instagram akiwa kwenye gym iliyopo nyumbani kwa mchumba wake huyo wakifanya mazoezi pamoja.

“The struggle is real…… Gotta keep that butt in place with the squats. Phew!!!,” ameandika kwenye picha moja inayomuonesha akiwa amenyanyua chuma kizito.

Katika picha nyingine Zari ameandika, “Well, it’s always easier with ‘man power’ #GymGrind #TeamWork.”

Hata hivyo mashabiki wake wamemuonya kuwa mazoezi hayo yanaweza kumletea madhara.

“That’s serious zari! You can’t carry heavy staff dumb bells and carry heavy staff when you are pregnant !!! I am so shocked , yes you can do minor exercises , walking , swimming tread mill just walking but this is just too much,” aliandika shabiki mmoja.

“Mazoezi yakizidi mimba itachoropoka!! Take care zari,” aliandika mwingine.

Labda wanataka itoke hatujui

Post a Comment Blogger

 
Top