0
Chuchu hans alitoroka na sasa hivi amerudi nyumbani sifa ya kwanza unapotimiza miaka 18 unaruhusiwa kwenda kujitegemea lakini ukiona maisha ni magumu baba ni baba na mama ni Mama kwa hiyo sio dhambi mtoto kurudi nyumbani na mimi kama Baba na Mama Samia tumempokea Chuchu Hans katika chama cha Mapinduzi’ – Steve Nyerere
‘Chuchu Hans mpaka sasa hivi ana siku ya tano tangu tumempokea na mganga siku zote haruhusiwi kusema kwamba nani alikuja na mimi kama Mwenyekiti wa Mama ongea na Mwao Tanzania siruhusiwi kusema  wangapi wanahitaji kuja katika chama cha Mapinduzi lakini viashiria vinaonesha wangapi wanahitaji kurudi’– Steve Nyerere
.
‘Kwa hiyo Chuchu Hans kafungua milango kama Mwanamke jasiri kurudi kwa Mama yao na kaamua kurudi kwa Dkt John Pombe Magufuli sasa si dhambi hata kwa hao wengi wakiamua kurudi nyumbani huku hakuna yale maandamano, kwa hiyo ninachotaka kusema ukitaka kuishi kwa Amani cha kwanza kabisa ni lazima ujitambue na ndio maana Chuchu Hans kajitambua’ – Steve Nyerere
‘Lakini mimi nataka niwaambia wasanii wenzangu tusipotoke na hayo yansyokuja ni mchanganuo  baada ya wenzetu wakiapishwa maisha mengine yanaendelea isije kutokea tukachukua tukashindwa kufanya kazi zetu huko kwenye kazi za uigizaji naomba nilisisitize hilo’ – Steve Nyerere

Post a Comment Blogger

 
Top