0
Mbunge wa Tarime John Heche (UKAWA-Chadema) amefanikiwa kulishawishi bunge kuridhia posho za leo tarehe 13 za wabunge zipelekwe kagera kwa wahanga wa Tetemeko.
Katika hoja yake mbunge huyo machachari amewataka wabunge waondoe tofauti zao na kukubali posho zote za wabunge leo zikasaidie wahanga hao wa tetemeko.
Wabunge wote kwa pamoja bila kujali tofauti zao wameridhia hoja hiyo kwa asilimia mia moja

Post a Comment Blogger

 
Top