0
Wachezaji wa soka wa kimataifa, Mbwana Samatta anayechezea klabu ya Ubelgiji, KRC Genk na Mkenya, Victor Wanyama anayekipiga na Tottenham Hotspur wameungana na wananchi wengine kuwapa pole wahanga wa tetemeko la ardhi, lilitokea hivi karibuni huko Kagera na Mwanza.
Samatta Mbwana Ally forward of Krc Genk looks behind him during the Jupiler Pro League match between Royal Mouscron Peruwelz and KRC Genk in the Le Canonnier Stadium in Mouscron, Belgium. *** MOUSCRON, BELGIUM - 06/02/2016  Photo by Nico Vereecken / Photonews ***
Tetemeko hilo lililokuwa na ukubwa wa 5.7 kipimo cha Ritcher, lilisababisha vifo vya zaidi ya watu 15, kujeruhi, na kuwaacha mamia bila sehemu za kuishi.
376dcb6800000578-0-image-a-100_1471708098905
Samatta na Wanyama wametoa pole hizo kupitia mtandao wa Twitter.
samata

Post a Comment Blogger

 
Top