Jumapili ya October 13 2016, Makamu wa Rais wa Simba Kaburu alimkabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu wa mwezi September mchezaji Shiza K...
Renato ameshinda tuzo ya “European Golden Boy 2016”
Mchezaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ureno, Renato Sanches, ambaye ana miaka 19, ameshinda tuzo ya “European Golden Boy ...
Toni Kroos asaini mkataba mpya Real Madrid
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani, Toni Kroos ameongeza mkataba mrefu ambao utaisha mwaka 2022 akiwa bado na ...
Pogba: Napenda kocha Jose Mourinho anichezeshe mbele zaidi
Mchezaji ghali zaidi kwasasa duniani kiungo Paul Pogba amesema kuwa anapenda kocha Jose Mourinho amchezeshe mbele zaidi katika kikosi cha ...
Hull city yamtangaza rasmi Phelan kuwa kocha mkuu
klabu ya Hull City imemtangaza rasmi Mike Phelan,kuwa kocha wa kudumu Phelan,54, amekuwa kocha wa muda wa klabu hiyo tangu mwezi julai mwak...
Chelsea waingia mkataba mnono na Nike
Klabu ya Chelsea Alhamisi hii imetangaza rasmi kuwa wameingia mkataba na kampuni ya utengenezaji vifaa na jezi ya Nike,utakaoanza msimu wa ...
Tokea ametua ubelgiji takwimu zinaonyesha samatta ni hatari zaidi dakika 20 za mwisho
Mshambuliaji Mbwana Samatta akiwa na timu yake ya KRC Genk amefikisha mabao sita ukijumlisha yale ya Ligi Kuu ya Ubeligiji pamoja na mechi z...
Stand united yaweka record
0 Comments TIMU ya Stand United imeweka rekodi msimu huu kwa kucheza michezo sita pasipo kupoteza, ikishika nafasi ya pili nyuma ya vinara S...
LEADERS Simba made a sky-high leap to the league table with voluminous 4-0 win
Simba have now six points ahead of their close pursuers Azam and Young Africans. Mbeya City who had a good start, also lost 2-1 to JKT Ruv...
Ubashiri wa baadhi ya mechi za leo... 16/09/2016
1.Wexford vs Derry City Derry City leo watakuwa ugenini Ferrycarrig kujihakikishia nafasi ya tatu kwaka msimamo wa ligi ya ireland kwa us...
Mourinho atoa sababu ya kumwacha Rooney katika safari ya Uholanzi
Nahodha wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney hajajumuishwa katika kikosi kilichosafiri kwenda Uholanzi kwa ajili ya mechi ya Europa ...
Phil Jones kuwa nje ya uwanja kwa mwezi mmoja
Beki wa klabu ya Manchester United, Phil Jones anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na matatizo ya goti aliyoya...
Ubashiri wa baadhi ya mechi za leo....
baada ya jana kuanza vizuri.. leo tunaendelea.... 1. Konyaspor v Shakhtar Donetsk baada ya kutolewa kwenye champions league qualifiers Shak...
Samatta na Victor Wanyama watoa pole kwa wahanga wa tetemeko la ardhi
Wachezaji wa soka wa kimataifa, Mbwana Samatta anayechezea klabu ya Ubelgiji, KRC Genk na Mkenya, Victor Wanyama anayekipiga na Tottenham Ho...
Mark Hughes afunguliwa mashtaka na FA kwa utovu wa nidhamu
Kocha wa klabu ya Stoke City Mark Hughes, amefunguliwa mashtaka na Chama cha soka nchini England (FA) kufuatia utiovu wa nidhamu aliouonyesh...
TFF yataja makundi ya timu zitakazoshiriki ligi daraja la pili
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa orodha ya makundi manne na timu zitakazoshiriki ligi daraja la pili ((SDL) inayotarajiw...
Mark Clattenburg kuchezesha Manchester Derby Jumamosi hii
Mark Clattenburg ametangazwa kuwa ni mwamuzi katika Manchester Derby Jumamosi hii katika uwanja wa Old Trafford. Waamuzi wengine ni Mike Dea...
Mchezaji Mpira Avunjiwa Mkataba Baada ya Kugundulika Ana Virusi
Zikiwa zimepita siku nne tu tangu asajiliwe na klabu ya Al Ittihad inayoshiki ligi kuu ya Misri, Samuel Nlend, 21, mkataba wake umevunjwa ...
Jose Mourinho Ampiga Mkwara Rashford
MWACHENI Jose Mourinho na kiburi chake aisee. Ungeweza kudhani angetoa maneno ya kufariji kwa kinda Marcus Rashford baada ya juzi kuibuka n...
Manuel Pellegrini atangazwa kocha mpya wa timu ya Hebei China Fortune
Kocha wa zamani wa Man City Manuel Pellegrini ametangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya Hebei China Fortune inayoshiriki ligi kuu ya...