0
Mgombea wa Urais wa Marekani, Bi. Hillary Clinton anatibiwa ugonjwa wa pneumonia, madaktari wake wamesema baada ya kuzidiwa wakati wa sherehe za kumbukumbu ya 9/11.
U.S. Democratic presidential candidate Hillary Clinton listens during the Community Forum on Substance Abuse at The Boys and Girls Club of America campaign event in Laconia
Video imemuonesha, Clinton, 68 akianguka na kudakwa na walinzi wake na kuondolewa kwenye eneo la kumbukumbu ta majengo ya World Trade Center kwa gari maalumu.
Dr Lisa Bardack alidai kuwa mgombea huyo alipewa antibiotics, lakini alipungukiwa maji kwenye hafla hiyo ya New York.

Post a Comment Blogger

 
Top