Video imemuonesha, Clinton, 68 akianguka na kudakwa na walinzi wake na kuondolewa kwenye eneo la kumbukumbu ta majengo ya World Trade Center kwa gari maalumu.
Dr Lisa Bardack alidai kuwa mgombea huyo alipewa antibiotics, lakini alipungukiwa maji kwenye hafla hiyo ya New York.
Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.