
Utafiti huo ni kuanzia April 1 hadi June 30 mwaka huu.
Clouds TV inaongoza kwa kuwa na watazamaji wengi zaidi wafikao asilimia 19.11% ya watazamaji wote wa runinga ikifuatiwa na ITV yenye 18.32% na EATV yenye 18.20%.

Utafiti huo umeonesha kuwa ITV hutazamwa zaidi kuanzia saa 2:00 hadi 2:30 usiku kwenye taarifa yake ya habari huku Star TV na TBC1 zikiwa na watazamaji kiasi kati ya 1:30 jioni hadi 2:30 usiku.

EATV pia hupata wazamaji wengi kuanzia 2:30 hadi saa 3:30 usiku.

Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.