Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda jana alitinga mahakamani na kumkataa hakimu aliyekuwa akisikiliza kesi iliyofunguliwa dhidi yake n...
Waziri Mkuu Asema Mtu Akiharibu Kazi Asitarajie Uhamisho.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa(Pichani) amesema watumishi wa umma wako huru kuhamia kokote wapendako lakini wahakikishe wanaenda huko wakiwa sa...
Waziri Wa Maliasili Awasimamisha Kazi Watumishi 5 ,Wengine 15 Wahamishwa mamlaka ya Ngorongoro.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh.Profesa Jumanne Maghembe amewasimamisha kazi watumishi watano wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na kuwah...
Jamii Forums Wafungua Kesi Ya Kikatiba Mahakamani Kupinga Baadhi ya Vifungu vya Sheria ya Makosa ya Mtandao.
Septemba Mosi, 2015 Tanzania ilianza kutumia sheria ya Makosa ya Mtandao licha ya kuwepo kwa mvutano na malalamiko kutoka kwa wananchi wanao...
Mtangaza nia ya kugombea Urais nchini Marekani, Donald Trump amesema Afrika inatakiwa kutawaliwa tena na wazungu, sababu imeshindwa kujitawala
Mtangaza nia ya kugombea Urais nchini Marekani, Donald Trump amesema Afrika inatakiwa kutawaliwa tena na wazungu, sababu imeshindwa kujitaw...
Mpoto adai amesitisha kuachia video ya wimbo ?Sizonje? kutokana na kauli ya Diamond
mjomba Amefunguka yaho kupitia ukurasa wake wa instagram @diamondplatnumz post yako ya leo imenifanya nisile Siku nzima Nikiitafakari, na sa...
Aliyefiwa na familia ajali Simba Mtoto azungumza
Dar es Salaam. ? Nipo njia Panda ?. Hayo ni maneno aliyoyatamka mwandishi wa habari mwandamizi wa Redio Mlimani, Hamis Dambaya baada ya kufi...
Bomu la Mbagala laua mama, mwanaye Dar
Dar es Salaam. Hali ya taharuki ilizuka jana huko Mbagala, Kijichi, kata ya Mgeni Nani jijini Dar es Salaam, baada ya kitu kinachosadikiwa k...
VIDEO: Waziri Muhongo Atajwa Kuvujisha Ziara ya Waziri Mkuu Kwa Meseji
Kumekuwepo na Watu waliokua wakitetea kwamba Waziri Muhongo hajamtumia Meseji meneja wa kurasini oil Jetty kuhusu ziara ya Waziri Mkuu. Mten...
Hali ni mbaya Iringa misaada inahitajika
wakati watanzania wanajumuika na wengine ulimwenguni kusherekea Valentines Day mkoani Iringa baadhi ya Vijiji hawana makazi chakula vimehari...
Huyu Ndiye Mwanamke Aliyemkaba Jambazi Na Kumpora Bunduki Aina Ya SMG Azawadiwa Laki 5 Na Jeshi La Polisi
Mwanamke aliyepambana na jambazi na kufanikiwa kumnyang’anya bunduki aina ya SMG, Sophia Manguye (46), amepewa zawadi ya Sh 500,000 na Kaman...
ZEC Yagoma Kuondoa Picha ya Maalim Seif Kwenye Karatasi za Kura........CUF Yasema Ipo Tayari Kwa Mazungumzo ila Sio Kurudia Uchaguzi
Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kurudiwa kwa uchaguzi Zanzibar, Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharrif Hamad amehoji sababu za c...
Rais Magufuli akumbana na kero lukuki Muhimbili. Zisome kero hizo hapa
Rais Magufuli ametembelea kwa ghafla wodi ya Wazazi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es salaam, na kujionea hali ya msongamano...
Ajali Nyingine Tanga..Basi la Simba Mtoto Limegongana Uso kwa Uso na Semi Trella
bus la Simba Mtoto la saa kumi na mbili inayondoka tanga kuja dar na limegongana na Semi Trella uso kwa uso kwenye maeneo ya panda mlima jir...
Kivuko cha MV Kigamboni mapema leo kilikaribia kuzama. ni baada ya
Kivuko cha MV Kigamboni mapema leo kilikaribia kuzama baada ya kuzidisha abiria na mizigo, baadhi ya abiria wajitosa na kuogelea. Kilipotez...
Makampuni 210 ya Clearing & Forwarding yasimamishwa kutoa huduma na TPA
Makampuni yafuatayo ya kupitisha mizigo bandarini (Clearing and Forwarding Agents) yamezuiwa kufanya kazi katika bandari zote zinazomilikiwa...
TFDA yakamata kiwanda bubu cha kutengeneza vipodozi Arusha
Mamlaka ya chakula na dawa kanda ya kaskazini kwa kushirikiana na jeshi la polisi wamembaini na kufanikiwa kumkamata mfanyabiashara mmoja ji...
Watanzania wanne wafanyabiashara wauawa Msumbiji kwa risasi
Jeshi la Polisi mkoa wa Mtwara limethibitisha kupokea maiti nne za wafanyabiashara wa kitanzania waliouwa na majambazi nchini Msumbiji na ku...
Raia wa Kigeni Waushika Uchumi wa Tanzania......Ni 10% Tu Ya Watanzania Wanaomiliki Uchumi wa Nchi, Serikali Yatangaza Mkakati Kuokoa Jahazi
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali ya awamu ya tano inafanya kila juhudi kuhakikisha uchumi wake unamilikiwa na wananchi, nia iki...
Haya Sasa Maigizo Mwalimu Mkuu wa Shule Avuliwa Cheo Chake Baada ya Kuchelewa Mkutano wa Mkuu wa Wilaya
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Butinzya, amevuliwa wadhifa huo kwa madai ya kuchelewa kuhudhuria kikao kilichoitishwa na Mkuu wa Wilaya ya ...