0
Hayawi hayawi sasa yamekuwa Aliyewahi kiwa Miss Tanzania (2006) Wema Sepetu
Amepokosa nafasi ya kufanikiwa kuchaguliwa kupata nafasi ya ubunge viti maalum leo.
Kulikuwa na upinzani mkali kutoka kwa wenzake wa singida pia walio kuwa wakiihitaji nafasi hiyo iliyo pelekea kuwa na kupigiwa kura na wanachama za mchujo
Na matokeo ni kama haya

1. Aysharose Mattembe (311)
2. Martha Mlata(235)
3.Diana Chilolo(182)
4. Wema Sepetu(90)
Matokeo ya viti maalum singida

Post a Comment Blogger

 
Top