0
Kumekuwepo na Watu waliokua wakitetea kwamba Waziri Muhongo hajamtumia Meseji meneja wa kurasini oil Jetty kuhusu ziara ya Waziri Mkuu.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo na Mizani, Bibi Magdalena Chuwa, amemtaja live kwamba, ametumiwa Meseji kutoka ngazi za juu, alipoulizwa na Waziri Mkuu ngazi za juu zipi zitaje, ndipo akasema alitumiwa meseji na Waziri wa nishati na madini Mh. Prof. Muhongo kwamba, akitupa maelekezo kwamba within 24hours, hizo mita zianze kufanya kazi.

Angalia Mwenyewe Video

Post a Comment Blogger

 
Top