0
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepiga marufuku wanasiasa kutumia nyumba za ibaada kufanya kwa shughuli za kisiasa.
mohamed-aboud
Tamko hilo limetolewa na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa pili wa rais wa Zanzibar, Mh. Mohammed Aboud alisema kuwa viongozi wa dini na kamati zao katika nyumba za ibada watakaoruhusu wanasiasa kuendesha shughuli hizo, watawajibika kwa mujibu wa sheria za nchi .
“Ninatoa hoja ya kuzungumza nanyi kupitia taarifa hii kwa lengo la kuelimisha na kuwatahadharisha kwa mwenendo wa baadhi ya viongozi wa kisiasa kutumia nyumba za ibada hususani misikiti, kuwa ni majukwaa ya kisiasa kwani jambo hilo ni hatari sana kwa mustakabali wa Zanzibar, Tanzania na wananchi kwa ujumla,” alionya Aboud.

Post a Comment Blogger

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top