0
Josephine Mushumbusi. Mpenzi wa Dr Slaa
Kama mnavyojua ni kwamba CC ya chadema ilikuwa na vikao vizito hivi karibuni kwa ajili ya uchaguzi mkuu. Moja ya agenda ilikuwa kumpata mgombea urais atakayeweza kupeperusha bendera ya chadema na ukawa.

Vikao vilikaa vikafikia maamuzi ya Eddo kupewa jukumu nzito ya kuipeperusha bendera, maamuzi yaliyoafikiwa na viongozi wote wa ukawa akiwemo Dr. Slaa.

Mara ya mwisho Dr. Slaa kushiriki vikao vya chama ilikuwa Jumapili, kikao ambacho kilichukua muda hadi saa nane usiku.

Ajabu ni kwamba siku ya Jumatatu Dr hakuweza kutokea ofisini, aliweza tu kuwasiliana na viongozi wenzie kwa simu kwa ajili ya kujipanga kwenda kwenye mkutano wa kumpokea Eddo. Siku ya J4 Dr hakuweza kushiriki mkutano wa Eddo, na hata alipotafutwa kwa simu hakuweza kupatikana hewani....

Zoezi likapita la kumkaribisha Eddo, ikabaki kumtafuta Dr kujua nini kilimpata, baadhi ya viongozi waliamua kwenda kwake, walipofika getini walizuiwa kuingia, taarifa za watchman zinasema mama (Josephine Mushumbusi) amefunga geti na ameondoka na funguo....

Hivi sasa tunavyoongea Dr. Slaa yupo kwenye unlawful detention kisa Mchumba wake Josephine Mushumbusi amechukizwa kuukosa u First Lady. Huyu mwanamke asiyeweza kujiheshimu, asiye na ustaarabu ndiye anayeleta makwazo kwa Mzee wetu pamoja na sisi wapambanaji.

Simu zote za Dr Slaa zipo kwa Josephine, taarifa zinasema mwanamke amechanganyikiwa kiasi cha kumshinikiza Dr ajiuzulu na kufanya propaganda kwenye media....

Kitendo cha kumweka kizuizini mtumishi wa chama chetu kwa tamaa ya madaraka siyo haki, nadhani sasa ni muda muafaka haki ikatafutwa iwe kiparoko, kishekhe, au kibabe

Source JF

Post a Comment Blogger

 
Top