
Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni akiwa Afrika Kusini, Inspector alisema ameamua kufanya hivyo ili kuleta ladha mpya kwenye muziki wake.
“Tayari nimeshaongea na producer wa South na sasa hivi najipanga kuingia studio kwa kuanza kurekodi. Muziki wa sasa hivi umejaa ushindani na unahitaji ubunifu wa aina fulani ndio maana unaona tunahangaika huku na kule ili kupata ladha tofauti,” alisema Inspekta.
Pia Inspekta alisema akishamaliza kurekodi kazi hizo ndio atajua anafanya video za aina gani huku akiwataka mashabiki wa muziki wake kukaa mkao wa kula.
Source BONGO
Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.