Stori zilizo zagaa mtaani ni kuwa wawili hawa( Diamond na Zari ) wanatarajia kupata mtoto wao hivi karibuni, lakini picha hii imeibua hisia tofauti miongoni mwa mashabiki wa mastaa hawa.
Kundi kubwa kubwa linawalaumu wasanii hawa kwa kupiga picha kama hii huku likidai ni kumdhalilisha mtoto aliyeko tumboni.
Aunt Ezekiel aliwahi piga picha kama hii nakujikuta akioga mvua ya matusi toka kwa mashabiki wake.
Mwanzilishi mwenza wa label ya Roc-A-Fella Records, Kareem ‘Biggs’
Burke amezungumzia dongo la Kanye West kwa swahiba wake, Jay Z.
“Nilishtuka kus...Read more »
Ciara na mumewe Russell Wilson wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza – kwa mujibu wa mtandao wa E! News.
Mmoja wa watu wa karibu wa familia hiyo a...Read more »
Leo watanzania wanaadhimisha miaka 17 toka Baba wa Taifa, Mwalimu
Julius Kambarage Nyerere amefariki dunia. Alifariki tarehe 14 Oktoba,
1999 huko Ui...Read more »
Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection, Tunda Man pamoja na
mpenzi wake wa muda mrefu wamefanya ‘send-off’ wakijiandaa kuingia
katika maisha ya ...Read more »
Msanii wa muziki, Barakah The Prince ameonyesha mafanikio aliyopata
kwenye muziki kwa kujenga nyumba kubwa yenye vyumba 5 huku nje akiwa
ameweka seh...Read more »
Mkali wa wimbo ‘Salome’ na Mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amesema katika ma Model ambao amewahi kuwalipa hela nyingi ni Zari ambaye ni mpenzi w...Read more »
Usipokuwa na Ufahamu mkubwa, leo unaweza dhani eti nna Maslahi Binafsi... ila siku Huu Uchaguzi utapopita ndio mtakumbuka Nilichokuwa napost Hapa......Read more »
MKUTANO WA CCM JANGWANI JANAWANANCHI WALIOJITOKEZA KATIKA FIESTA JANA KWENYE VIWANJA VYA JANGWANIMZEE YUSUPH NAYE KATIKA VIWANJA VYA JANGWANI JANADIAM...Read more »
Post a Comment Blogger Facebook
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.