Menu
  • About
  • Contact
  • More
    • Menu 1
    • Menu 2
    • Menu 3
    • Menu 4
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest

WALUMI

Breaking News

Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • News
  • GOSSIPs
  • HEALTH
  • LOVE
  • TECHNOLOGY
  • STORY
  • SPORTS
Home KITAIFA

Gari la CRDB laopolewa, mfanyakazi hajapatikana

0 KITAIFA 3:55:00 PM
A+ A-
Print Email

 Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.
Kilombero. Gari la Benki ya CRDB limeopolewa katika Mto Kilombero likiwa na Sh3.5 milioni, huku mfanyakazi wake akiwa hajapatikana.

Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.

Mfanyakazi wa CRDB tawi la Ifakara, Dustan Rwegasira (31) ni miongoni mwa abiria waliokuwamo ndani ya kivuko hicho.

Hata hivyo, jitihada mbalimbali za kukiibua kivuko hicho bado zinaendelea baada ya juzi kutumia mbinu ya kutumbukiza mapipa yaliyojazwa maji kisha kuzamishwa chini ili kukitoa kukwama.

Kazi hiyo inafanywa na timu ya wazamiaji wa Kampuni za M.Divers Limited na May-Marine Go Limited.

Mkuu wa Kikosi cha Uzamiaji na Uokoaji wa Kampuni ya M. Divers Limited, Hafidh Seif alisema: “Hesabu zetu zinakwenda vizuri, yale matangi unayoyaona yanazamishwa baada ya kujazwa maji halafu, yakiwa chini yatageuka maboya kisha yatapanda juu na kivuko hicho na kuvutwa na wenye magari,” alisema Seif.

Seif alisema wanakabiliana na changamoto ya kasi ya maji, lakini wanamshukuru Mungu kazi ya kuondoa maji ndani ya vyumba vya maboya ya kivuko imemalizika salama. 


Share to:
Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment Blogger Facebook

aprieztmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)
  • Populars
  • Comments
  • Archive

FACEBOOK

walumitz.com

twitter

Tweets by walumitz

Popular Posts

  • Chombezo; Dudu washa sehemu ya 4
    Kutokana kauli aliyoitoa OSWADI kiukweli Palanjo alijishtukia na kufunga zipu yake,kiutu uzima wapo waliohisi kitu Fulani cha kweli alichoki...
  • JIMAMA MTAA WA PILI (sehemu ya 14)
    ILIPOISHIA..……. Nilishtuka kwenye wimbi hilo la mawazo na kujikuta nikiwa nimeshikilia kiuno cha jimama Enjol “aaassaasssssii, alex jamani t...
  • Chombezo; Dudu washa sehemu ya pili
    ,,,ngo ngo ngo!,,, ,,,nani Sefu?,,, ,,,ndiyo fungua mlango,,, ,,,navaa bwana,subiri kidogo,kwani unataka nini?,,, ,,,kuna kitabu cha Civics ...
  • Real Madrid and Man Utd Agree Deal for David de Gea Transfer With Navas Included
    Multiple reports are now suggesting that Real Madrid and Manchester United have agreed a deal for David de Gea to leave the Premier League s...
  • JIMAMA MTAA WA PILI (sehemu ya 2)
    ILIPOISHIA..……. Sikupata tabu kujua mahali ambapo sauti hiyo ilipotokea ‘bafuni’ Dalili zote zilionyesha hivyo , kwanza ni nguo alizoku...
  • Bundi atua CUF: Prof. Lipumba, Sakaya, Mbunge wa Mtwara Mjini na Wengine Kadhaa Watemwa
    Profesa Ibrahim Haruna Lipumba na wafuasi wake 10 watimuliwa rasmi uanachama wa chama cha wananchi (CUF). Wengine wapewa onyo kali. Hayo ni...
  • Lowassa: Mapato ya gesi yatasomesha wanafunzi bure
    Kwa ufupiMgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa akihutubia wananchi katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni uliofanyika katika Vi...
  • Baraza kuu la uongozi CUF lamfuta uanachama profesa Lipumba
    Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) Taifa lililokutana Zanzibar leo limemfukuza uanachama Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Pro...
  • Makampuni 3 Yamtaka Mtoto wa Wema Kwa Udi na Uvumba
    Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto atakayezaliwa baada ya staa wa filamu Wema Sepetu kujifungua baadaye mwaka huu. C...
  • Serikali Kutoa Ajira Mpya 71,496 Hivi Karibuni
    SERIKALI imeanza kuwashughulikia watumishi walionufaika na fedha za watumishi hewa ambapo hadi sasa watumishi 839 wapo katika hatua mbalim...

MAPENZI NA SIMULIZI

 

About us

WALUMI © 2013. All Rights Reserved.
Powered by Blogger
Top