Menu
  • About
  • Contact
  • More
    • Menu 1
    • Menu 2
    • Menu 3
    • Menu 4
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest

WALUMI

Breaking News

Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • News
  • GOSSIPs
  • HEALTH
  • LOVE
  • TECHNOLOGY
  • STORY
  • SPORTS
Home KITAIFA

Gari la CRDB laopolewa, mfanyakazi hajapatikana

0 KITAIFA 3:55:00 PM
A+ A-
Print Email

 Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.
Kilombero. Gari la Benki ya CRDB limeopolewa katika Mto Kilombero likiwa na Sh3.5 milioni, huku mfanyakazi wake akiwa hajapatikana.

Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.

Mfanyakazi wa CRDB tawi la Ifakara, Dustan Rwegasira (31) ni miongoni mwa abiria waliokuwamo ndani ya kivuko hicho.

Hata hivyo, jitihada mbalimbali za kukiibua kivuko hicho bado zinaendelea baada ya juzi kutumia mbinu ya kutumbukiza mapipa yaliyojazwa maji kisha kuzamishwa chini ili kukitoa kukwama.

Kazi hiyo inafanywa na timu ya wazamiaji wa Kampuni za M.Divers Limited na May-Marine Go Limited.

Mkuu wa Kikosi cha Uzamiaji na Uokoaji wa Kampuni ya M. Divers Limited, Hafidh Seif alisema: “Hesabu zetu zinakwenda vizuri, yale matangi unayoyaona yanazamishwa baada ya kujazwa maji halafu, yakiwa chini yatageuka maboya kisha yatapanda juu na kivuko hicho na kuvutwa na wenye magari,” alisema Seif.

Seif alisema wanakabiliana na changamoto ya kasi ya maji, lakini wanamshukuru Mungu kazi ya kuondoa maji ndani ya vyumba vya maboya ya kivuko imemalizika salama. 


Share to:
Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment Blogger Facebook

aprieztmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)
  • Populars
  • Comments
  • Archive

FACEBOOK

walumitz.com

twitter

Tweets by walumitz

Popular Posts

  • Chombezo; Dudu washa sehemu ya 4
    Kutokana kauli aliyoitoa OSWADI kiukweli Palanjo alijishtukia na kufunga zipu yake,kiutu uzima wapo waliohisi kitu Fulani cha kweli alichoki...
  • Rais Kenyatta, Mbowe watoa msaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi kagera
    Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta amezungumza kwa njia ya simu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ku...
  • Lowassa: Mapato ya gesi yatasomesha wanafunzi bure
    Kwa ufupiMgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa akihutubia wananchi katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni uliofanyika katika Vi...
  • Manchester City 3-0 Chelsea; msimu wa vipigo timu kubwa waanza,.... Chelsea kifo cha mende
    Timu ya manchester city imeanza vizuri kuwania mbio za ubingwa wa ligi kuu ya uingereza baada ya kuwaadhibu mabingwa watetezi Chelsea kwa ba...
  • Paul Pogba 'REJECTED £62m Chelsea move
    Paul Pogba rejected a £62million move to Chelsea despite Juventus agreeing a deal to sell him to the Barclays Premier League champions thi...
  • 21 Things You Need to Stop Doing By the Time You Turn 30
    As I approach 30, I have a pretty solid idea of who I want to be when I get there. And even if the Big Three-O is an arbitrary demarcation...
  • Real Madrid and Man Utd Agree Deal for David de Gea Transfer With Navas Included
    Multiple reports are now suggesting that Real Madrid and Manchester United have agreed a deal for David de Gea to leave the Premier League s...
  • WARIOBA: CCM ina kazi ngumu kumpata mgombea urais
    Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba amesema CCM inakabiliwa na kazi ngumu ya kupata Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Kat...
  • zifahamu styles 6 za-kiufundi za za kufaidi katika tendo la ndoa jifunze hizi na uone faida zake
    JIFUNZE SEX STYLES ZA KUPEANA RAHA NA UTAMU ZAIDI NA MKE WAKO AMA MUMEO KUPORESHA PENZI.   FLATIRON   FLATIRON  Jinsi Ya Kujipanga Mwanamke ...
  • Mrithi wa Prof Lipumba CUF Kupatikana Leo
    Historia kuandikwa leo. Ndivyo unavyoweza kusema wakati wajumbe zaidi ya 700 wa Mkutano Mkuu wa dharura wa CUF watakapomchagua mwenyekiti ...

MAPENZI NA SIMULIZI

 

About us

WALUMI © 2013. All Rights Reserved.
Powered by Blogger
Top