Menu
  • About
  • Contact
  • More
    • Menu 1
    • Menu 2
    • Menu 3
    • Menu 4
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest

WALUMI

Breaking News

Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • News
  • GOSSIPs
  • HEALTH
  • LOVE
  • TECHNOLOGY
  • STORY
  • SPORTS
Home KITAIFA

Gari la CRDB laopolewa, mfanyakazi hajapatikana

0 KITAIFA 3:55:00 PM
A+ A-
Print Email

 Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.
Kilombero. Gari la Benki ya CRDB limeopolewa katika Mto Kilombero likiwa na Sh3.5 milioni, huku mfanyakazi wake akiwa hajapatikana.

Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.

Mfanyakazi wa CRDB tawi la Ifakara, Dustan Rwegasira (31) ni miongoni mwa abiria waliokuwamo ndani ya kivuko hicho.

Hata hivyo, jitihada mbalimbali za kukiibua kivuko hicho bado zinaendelea baada ya juzi kutumia mbinu ya kutumbukiza mapipa yaliyojazwa maji kisha kuzamishwa chini ili kukitoa kukwama.

Kazi hiyo inafanywa na timu ya wazamiaji wa Kampuni za M.Divers Limited na May-Marine Go Limited.

Mkuu wa Kikosi cha Uzamiaji na Uokoaji wa Kampuni ya M. Divers Limited, Hafidh Seif alisema: “Hesabu zetu zinakwenda vizuri, yale matangi unayoyaona yanazamishwa baada ya kujazwa maji halafu, yakiwa chini yatageuka maboya kisha yatapanda juu na kivuko hicho na kuvutwa na wenye magari,” alisema Seif.

Seif alisema wanakabiliana na changamoto ya kasi ya maji, lakini wanamshukuru Mungu kazi ya kuondoa maji ndani ya vyumba vya maboya ya kivuko imemalizika salama. 


Share to:
Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment Blogger Facebook

aprieztmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)
  • Populars
  • Comments
  • Archive

FACEBOOK

walumitz.com

twitter

Tweets by walumitz

Popular Posts

  • Chombezo; Dudu washa sehemu ya 4
    Kutokana kauli aliyoitoa OSWADI kiukweli Palanjo alijishtukia na kufunga zipu yake,kiutu uzima wapo waliohisi kitu Fulani cha kweli alichoki...
  • Chombezo; Dudu washa sehemu ya pili
    ,,,ngo ngo ngo!,,, ,,,nani Sefu?,,, ,,,ndiyo fungua mlango,,, ,,,navaa bwana,subiri kidogo,kwani unataka nini?,,, ,,,kuna kitabu cha Civics ...
  • Makampuni 3 Yamtaka Mtoto wa Wema Kwa Udi na Uvumba
    Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto atakayezaliwa baada ya staa wa filamu Wema Sepetu kujifungua baadaye mwaka huu. C...
  • KIMBUNGA CHAUA UFILIPINO
    Waokoaji Kaskazini mwa Ufilipino wanachimbua ardhini kwa lengo kutafuta mamia ya wachimba madini, baada ya kukumbwa na kimbunga. Zaidi ya wa...
  • Mume Amcharanga Mke Wake Kwa Panga Sehemu Mbali Mbali Kisa Sh 5,000 ya Matumizi
    Mkazi wa kijiji cha Buhembe, mkoani mara, Martha Hussein 'Bhoke' amecharangwa na panga sehemu mbalimbali za mwili wake na mume wake ...
  • Magufuli Aahidi Kuboresha Masilahi ya Polisi ili Waweze Kukabiliana na Majambazi.......Kaongelea Pia Afya Yake
    Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amesema serikali yake itaimarisha masilahi ya wafanyakazi wote wakiwamo polisi, ili wasiwe wa...
  • Namna yakujiweka fiti mda wote kwa mwanamke
    Katika  kujiweka fiti au tuseme kujiweka sawa kwa ajili ya kuonekana mrembo ni kazi ambayo inahitaji muda na uvumilivu vinginevyo unaweza ku...
  • Wahamiaji 2000 waokolewa Mediterranea
    Walinzi wa italia wanasema kuwa takriban wahamiaji 3,000 wako mashakani Walinzi wa pwani wa Utaliano wanasema kuwa waliaongoza shughuli za k...
  • Baraza kuu la uongozi CUF lamfuta uanachama profesa Lipumba
    Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) Taifa lililokutana Zanzibar leo limemfukuza uanachama Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Pro...
  • maajabu yaliyotokea kwenye mkutano wa CCM Jangwani
    1. Yamoto Band wameshangiliwa zaidi kuliko Magufuli 2. Wakati Mbowe amewakutanisha Lowasa na Sumaye. Leo Jakaya amewakutanisha Diamond na Al...

MAPENZI NA SIMULIZI

 

About us

WALUMI © 2013. All Rights Reserved.
Powered by Blogger
Top