0
Prof. Lipumba akiongea na waandishi wa Habari kwenye Hoteli ya Peacock

Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti kwenye chama chake cha Wananchi CUF.

Ametangaza kuachia ngazi uenyekiti wa chama hicho mapema leo, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Peacok.
Tazama video Prof: Lipumba akiongea na waandishi wa habari



Amesema amechukua uamuzi huo kutokana na UKAWA kushindwa kusimamia makubaliano yao.


Prof Lipumba akitaja sababu za kujiuzulu nafasi ya uenyekiti CUF
Na hizi ni baadhi ya kauli/sentensi alizo zitoa Prof. lipumba kwa waandishi wa habari

Post a Comment Blogger

 
Top