Gwajima akizungumza na waandishi wa habari pamoja na waumini wa kanisa hilo jijini Dar es Salaam leo, kuhusu kauli mbalimbali alizozitoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dk.Willibroad Slaa, akimtuhumu yeye kuwa ni mshenga wa Lowassa pamoja na kumpa s… Read more »walumitz.blogspot.com
CUF Wamjibu Lipumba.....Wasema Chama Chao Kiko Imara Na Kamwe Hakiwezi Kuyumba, Pia Wameapa Kuilinda UKAWA Kwa Nguvu Zote
TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARILeo tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es Salaam na kutangaza kwamba amejizulu nafasi yake kama Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Ch… Read more »walumitz.blogspot.com
Prof:Ibrahim Lipumba Ang'atuka
Prof. Lipumba akiongea na waandishi wa Habari kwenye Hoteli ya PeacockProf. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti kwenye chama chake cha Wananchi CUF. Ametangaza kuachia ngazi uenyekiti wa chama hicho mapema leo, alipokuwa akizungu… Read more »walumitz.blogspot.com
Wanachama wavamia ofisi za CUF Dar
Dar es Salaam. WANACHAMA wa Chama cha Wananchi (CUF) wamevamia makao makuu ya chama hicho leo asubuhi na kusababisha kikao cha mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba na wanahabari kuhairishwa.Mkutano wa mwenyekiti huyo ulikuwa ufanyike leo saa nne asubuh… Read more »walumitz.blogspot.com
Wasomi waishangaa UKAWA
WASOMI mbalimbali nchini wamewatahadharisha wananchi kwa kusema nchi haijafikia wakati wa wanasiasa kutaka kushinda uchaguzi kwa gharama yoyote, hata kama hawana misingi ya utawala bora.Wakitoa maoni yao Dar es Salaam jana, wasomi hao kutoka taasis… Read more »walumitz.blogspot.com
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU
Kutoka gazeti la uwazi.NI kweli, ukweli ni huu! Wakati maelfu ya watu nchini wakiamini kutoonekana hadharani kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa kunatokana na kuchukizwa na kitendo cha kukaribishwa … Read more »walumitz.blogspot.com
Breaking News: LOWASSA Atangaza Rasmi Kuhamia CHADEMA.....Asema CCM siyo Baba Yake Wala Mama Yake
Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa ametangaza rasmi kukihama chama cha mapinduzi, CCM mchana huu na kutangaza kuhamia CHADEMA..... Lowassa ametoa kauli hii Bahari Beach , Dar akiwa sambamba na viongozi mbalimbali wa UKAW… Read more »walumitz.blogspot.com
LOWASSA Atua Rasmi CHADEMA.......Kutangazwa Muda Wowote Ndani ya Wiki Hii
Mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wa… Read more »walumitz.blogspot.com
Ukawa sasa waitisha CCM
Hai. Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema kampeni za mwaka huu zitakazofanywa na umoja huo, hazijawahi kuonekana tangu nchi ipate uhuru 1961.Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, alisema Ukawa itafanya kam… Read more »walumitz.blogspot.com
Baraza Kuu la Uongozi la CUF latoa Masharti Magumu kwa CHADEMA katika nafasi ya Mgombea Urais
Kama mnavyojua ni kwamba, Baraza Kuu la Uongozi la CUF lilikutana jana Mjini Zanzibar kujadili masuala kadhaa. Miongoni mwa hoja zilizozua mjadala mkubwa ni pamoja na Nafasi ya CUF ndani ya UKAWA. Katika kikao hicho, Katibu Mkuu wa CUF Maalim Sei… Read more »walumitz.blogspot.com
Prof. Lipumba tuna imani na wewe kuwa Rais
Maoni ya baadhi ya wanachama wa CUF juu ya uraisi ukawaWadau ni muda mrefu tangu mheshimiwa Lipumba achaguliwe rasmi na chama chetu cha CUF kuwa mgombea urais. Ukizingatia hasa weledi wako uzoefu wako na uvumilivu wako na staha katika siasa unafaa k… Read more »walumitz.blogspot.com
Team Lowassa Wazidi Kupigwa Chini Ubunge CCM!
Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc. … Read more »walumitz.blogspot.com
Wiki Ya Mtikisiko: Lowassa na Timu Yake Wasubiriwa kwa Hamu UKAWA.......Zaidi ya Viongozi 950 Wa CCM Kutimkia CHADEMA Wiki hii
Ni wiki ya mtikisiko. Hivi ndiyo unavyoweza kuelezea hali itakavyokuwa nchini kutokana na matukio makubwa ya kisiasa yanayotazamiwa kutokea ndani ya wiki inayoanza leo ambayo yanaweza kubadili mwelekeo wa siasa za Tanzania. Hali hiyo inatokana n… Read more »walumitz.blogspot.com
CUF wajifungia kutegua kitendawili cha Ukawa
Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF) kinafanya kikao chake cha Baraza Kuu la Uongozi leo mjini Zanzibar huku wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakisubiri kwa hamu kitakachoamuliwa kuhusu mgombea ur… Read more »walumitz.blogspot.com