0
Rais Kikwete Azungumzia Kauli za Magufuli Kuikosoa Serikali Yake.....Asema ni Haki Yake Kwa Kuwa Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Rais Kikwete Azungumzia Kauli za Magufuli Kuikosoa Serikali Yake.....Asema ni Haki Yake Kwa Kuwa Nchi Inahitaji Mawazo Mapya

RAIS Jakaya Kikwete, amesema hamshangai mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Magufuli kwa kukosoa utendaji kazi wa Serikali yake katika mikutano yake ya kampeni inayoendelea.Rais Kikwete, alitoa kauli hiyo juzi, wakati akizungumza … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
25Sep2015

0
VIDEO YA GWAJIMA AKIMUANIKA DOKTA SLAA
VIDEO YA GWAJIMA AKIMUANIKA DOKTA SLAA

Gwajima akizungumza na waandishi wa habari pamoja na waumini wa kanisa hilo jijini Dar es Salaam leo, kuhusu kauli mbalimbali alizozitoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dk.Willibroad Slaa, akimtuhumu yeye kuwa ni mshenga wa Lowassa pamoja na kumpa s… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
09Sep2015

0
MAGUFULI AKIENDELEA NA KAMPENI ZAKE NJOMBE
MAGUFULI AKIENDELEA NA KAMPENI ZAKE NJOMBE

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Ludewa mjini kabla ya kuanza kuwahutubia ,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo na kuhudhriwa na maelfu ya wat… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
31Aug2015

0
MAGUFULIA AKIWA MBEYA AKIENDELEA NA KAMPENI
MAGUFULIA AKIWA MBEYA AKIENDELEA NA KAMPENI

 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa Mbalizi na kuendelea kusisitiza elimu itakuwa bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne,kuongeza maslahi ya walimu pamoja na jeshi la polisi. Mgombea wa Urais kupitia … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
28Aug2015
 
 
Top