0
VIDEO YA GWAJIMA AKIMUANIKA DOKTA SLAA
VIDEO YA GWAJIMA AKIMUANIKA DOKTA SLAA

Gwajima akizungumza na waandishi wa habari pamoja na waumini wa kanisa hilo jijini Dar es Salaam leo, kuhusu kauli mbalimbali alizozitoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dk.Willibroad Slaa, akimtuhumu yeye kuwa ni mshenga wa Lowassa pamoja na kumpa s… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
09Sep2015

0
CHADEMA MOROGORO WAGANYIWAKA, KATIBU MAZIMBU AJIUZULU
CHADEMA MOROGORO WAGANYIWAKA, KATIBU MAZIMBU AJIUZULU

KUPITISHWA kwa Majina ya Viongozi walioshindwa Kura za Maoni ndani ya Chama cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) Morogoro, kumekigawa Chama hicho na kusababisha, kujiuzulu nyadhifa zao wakipinga Kukatwa kwa Mshindi wao wa Udiwani wa Kata ya Mazimbu… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Aug2015

0
Lowasa aingia mtaani kukusanya maoni ya wananchi jionee
Lowasa aingia mtaani kukusanya maoni ya wananchi jionee

Mgombea Urais 2015 Tanzania kupitia headlines za UKAWA Edward Lowassa leo August 24 2015 aliamua kuwashtukiza Watanzania kwa kwenda kuwatembelea moja kwa moja mtaani kuwasikiliza matatizo yao na kupanda nao daladala kama inavyoonekana kwenye hizi pic… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Aug2015

0
Walinzi wa CHADEMA Walioongoza Msafara wa Lowassa Jijini Mbeya Watakiwa Kujisalimisha Polisi Kwa Ajili ya Mahojiano
Walinzi wa CHADEMA Walioongoza Msafara wa Lowassa Jijini Mbeya Watakiwa Kujisalimisha Polisi Kwa Ajili ya Mahojiano

Mnamo Tarehe 14.08.2015 Mgombea Urais Kwa Tiketi Ya Chadema Alikuja Mkoa Wa Mbeya Akiwa Ameandamana Na Viongozi Wa Vyama Vya Cuf, Nccr – Mageuzi Na Nld Kwa Dhumuni La Kumtambulisha Na Kuomba Udhamini Wa Kupeperusha Bendera Ya Chadema Kwa Nafasi … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
20Aug2015

0
JESHI LA KAMPENI LA CCM DHIDI YA UKAWA hili hapa
JESHI LA KAMPENI LA CCM DHIDI YA UKAWA hili hapa

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza Kamati ya Kampeni yenye wajumbe 32, wengi wao wakiwa ni wale waliowahi kuvaana na mgombea wa Chadema, Edward Lowassa katika masuala tofauti.Lowassa, Waziri Mkuu wa kwanza wa Serikali ya Awamu ya Nne, alijiondoa C… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
19Aug2015

0
WANACHAMA WA UKAWA WA MJIBU NAPE KWA MABANGO
WANACHAMA WA UKAWA WA MJIBU NAPE KWA MABANGO

Katibu Mwenezi wa CCM Nape Amekaririwa Akisema kuwa CCM ina Wanachama Wengi sana, Hao wawili watatu mnaosikia wanahama chama kila siku ni sawa na Oili chafu ya Gari ....Hawana Tena Thamani.....… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
15Aug2015

0
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”

Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi ch… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
12Aug2015

0
BREAKING: Dr. Slaa aibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema Mambo Mazito kuhusu Lowassa
BREAKING: Dr. Slaa aibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema Mambo Mazito kuhusu Lowassa

BREAKING: Dr. Slaa aibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema Mambo Mazito kuhusu Lowassa...Hapa Chini unaweza Kusoma Mambo yote aliyosema kuhusu Lowassa na Chadema...  … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
12Aug2015

0
Habari Mpya Kutoka MUHIMBILI Ambako Freeman Mbowe Amelazwa Baada ya Kuugua Ghafla
Habari Mpya Kutoka MUHIMBILI Ambako Freeman Mbowe Amelazwa Baada ya Kuugua Ghafla

Hali ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai anayemaliza muda wake, mh Freeman Aikae Mbowe, imeendelea kuimarika.Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi uliopita katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili, anakopatiwa matibabu, m… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
12Aug2015

0
Gazeti la Uhuru: Vijana waliomsindikiza Lowasa kuchukua fomu jana ni VIBAKA
Gazeti la Uhuru: Vijana waliomsindikiza Lowasa kuchukua fomu jana ni VIBAKA

Ni kitambo sana gazeti dada la chama Cha Mapinduzi limekua likinanga Harakati za vyama pinzani. Yote tisa kumi ni ripoti zilizomo kwa gazeti hili tar 11/08/2015 siku moja baada ya MTETEMO WA UKAWA JIJINI DAR."Ati Kundi la vibaka latikisa Ukawa. " h… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
12Aug2015

0
Breaking News: Jeshi la Polisi Lakanusha Kupiga Marufuku Maandamano ya Kumsindikiza Kuchukua fomu Mgombea urais Chadema,Edward Lowassa
Breaking News: Jeshi la Polisi Lakanusha Kupiga Marufuku Maandamano ya Kumsindikiza Kuchukua fomu Mgombea urais Chadema,Edward Lowassa

Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar  es  Salaam Suleiman Kova amekanusha  kupiga marufuku  maandamano  ya  kumsindikiza  Lowassa  Kuchukua  fomu ya  kugombea  urais  ofisi  za  tume  ya  taifa  ya  uchaguzi.Kova amesema kuwa maandamano wanayo ya… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
10Aug2015

0
Mke wa Dk Slaa afunguka
Mke wa Dk Slaa afunguka

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kuzungumza na gazeti hili na kusema yupo salama, mke wake, Josephine Mushumbusi amekanusha tuhuma zilizozagaa kuwa ndiye aliyemshauri kiongozi huyo wa Chadema kujiuzulu na ku… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
07Aug2015

0
Prof:Ibrahim Lipumba Ang'atuka
Prof:Ibrahim Lipumba Ang'atuka

Prof. Lipumba akiongea na waandishi wa Habari kwenye Hoteli ya PeacockProf. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti kwenye chama chake cha Wananchi CUF. Ametangaza kuachia ngazi uenyekiti wa chama hicho mapema leo, alipokuwa akizungu… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
06Aug2015

0
Angalizo Kwa Dr. Slaa na Edward Lowassa!
Angalizo Kwa Dr. Slaa na Edward Lowassa!

Kabla sijaanza kuelezea lolote napenda kumukumbusha Slaa ambaye ana taaluma ya upadri.Katika kitabu cha matendo ya Mitume kuna ushahidi kwa Sauli alikuwa muuaji na tena alikuwa anauwa mitume lakini alipata badiliko la kweli na kujiunga na mitume we… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
04Aug2015

0
Wasomi waishangaa UKAWA
Wasomi waishangaa UKAWA

WASOMI mbalimbali nchini wamewatahadharisha wananchi kwa kusema nchi haijafikia wakati wa wanasiasa kutaka kushinda uchaguzi kwa gharama yoyote, hata kama hawana misingi ya utawala bora.Wakitoa maoni yao Dar es Salaam jana, wasomi hao kutoka taasis… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
04Aug2015

0
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU

 Kutoka gazeti la uwazi.NI kweli, ukweli ni huu! Wakati maelfu ya watu nchini wakiamini kutoonekana hadharani kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa kunatokana na kuchukizwa na kitendo cha kukaribishwa … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
04Aug2015

0
Kada wa Vijana Chadema Dar auawa kwa risasi
Kada wa Vijana Chadema Dar auawa kwa risasi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Vijana Chadema Tawi la Luis, Mbezi Luis, Dar es Salaam, Dennis Kasanga ameuawa kwa kupigwa risasi shingoni usiku wa kuamkia jana, huku taarifa zilizotolewa na polisi zikitofautiana na mashuhuda wa tukio… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
01Aug2015

0
Breaking News: LOWASSA Atangaza Rasmi Kuhamia CHADEMA.....Asema CCM siyo Baba Yake Wala Mama Yake
Breaking News: LOWASSA Atangaza Rasmi Kuhamia CHADEMA.....Asema CCM siyo Baba Yake Wala Mama Yake

Waziri  mkuu wa  zamani  Edward  Lowassa  ametangaza  rasmi  kukihama  chama  cha  mapinduzi, CCM mchana  huu  na  kutangaza  kuhamia  CHADEMA..... Lowassa  ametoa  kauli hii Bahari  Beach , Dar akiwa  sambamba  na  viongozi  mbalimbali  wa  UKAW… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
28Jul2015

0
Fedha alizochangiwa Lowassa na kundi la Marafiki wa Edward Lowassa zatafunwa....
Fedha alizochangiwa Lowassa na kundi la Marafiki wa Edward Lowassa zatafunwa....

WANACHAMA wa kundi la Marafiki wa Edward Lowassa waliochanga fedha za kumwezesha waziri mkuu huyo wa zamani kuchukua fomu ya kugombea urais, wamemtuhumu aliyekuwa naibu katibu wao, George Kivuyo  kutafuna fedha hizo.Taarifa zilizopatikana kutoka k… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
28Jul2015

0
TUNDU LISSU AFUNGUKA UKWELI WOTE KUHUSU EDWARD LOWASSA.
TUNDU LISSU AFUNGUKA UKWELI WOTE KUHUSU EDWARD LOWASSA.

Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
28Jul2015
 
 
Top