0
Huyu Ndo Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo baada ya Kitila Mkumbo Kukataa
Huyu Ndo Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo baada ya Kitila Mkumbo Kukataa

Bi. Anna Mghwira (56 Hatimaye Chama cha ACT – Wazalendo kimempitisha mwenyekiti wake, Anna Mghwira (56) kuwania urais baada ya mshauri wake, Profesa Kitila Mkumbo aliyekuwa amechukuliwa fomu kukataa kubeba jukumu hilo.Sambamba na Mghwira, mkutano mk… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
21Aug2015

0
Mgombea urais aichanganya ACT- Wazalendo
Mgombea urais aichanganya ACT- Wazalendo

Mchakato wa kumpata mgombea urais umeendelea kukichanganya Chama cha ACT – Wazalendo na sasa kimelazimika kuanza upya vikao vya kumpata mgombea mwingine atakayepeperusha bendera ya urais kwa tiketi ya chama hicho.Mkanganyiko huo umetokea baada ya mgo… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
19Aug2015

0
Prof:Ibrahim Lipumba Ang'atuka
Prof:Ibrahim Lipumba Ang'atuka

Prof. Lipumba akiongea na waandishi wa Habari kwenye Hoteli ya PeacockProf. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti kwenye chama chake cha Wananchi CUF. Ametangaza kuachia ngazi uenyekiti wa chama hicho mapema leo, alipokuwa akizungu… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
06Aug2015

0
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU

 Kutoka gazeti la uwazi.NI kweli, ukweli ni huu! Wakati maelfu ya watu nchini wakiamini kutoonekana hadharani kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa kunatokana na kuchukizwa na kitendo cha kukaribishwa … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
04Aug2015

0
Breaking News: LOWASSA Atangaza Rasmi Kuhamia CHADEMA.....Asema CCM siyo Baba Yake Wala Mama Yake
Breaking News: LOWASSA Atangaza Rasmi Kuhamia CHADEMA.....Asema CCM siyo Baba Yake Wala Mama Yake

Waziri  mkuu wa  zamani  Edward  Lowassa  ametangaza  rasmi  kukihama  chama  cha  mapinduzi, CCM mchana  huu  na  kutangaza  kuhamia  CHADEMA..... Lowassa  ametoa  kauli hii Bahari  Beach , Dar akiwa  sambamba  na  viongozi  mbalimbali  wa  UKAW… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
28Jul2015

0
Maamuzi Rasmi ya ACT Wazalendo Kupitia Kwa Zitto Kabwe Kuhusu Kujiunga na UKAWA
Maamuzi Rasmi ya ACT Wazalendo Kupitia Kwa Zitto Kabwe Kuhusu Kujiunga na UKAWA

Headlines zimeendelea kwenye mwaka huu wa Uchaguzi 2015 ambapo UKAWA sio jina geni kwa Watanzania, vyama mbalimbali vya upinzani vikiwemo CHADEMA na C.U.F vilijiunga na vinataka kumtangaza mgombea mmoja atakaewawakilisha.Zitto Kabwe ambaye aliondo… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
27Jul2015

0
Team Lowassa Wazidi Kupigwa Chini Ubunge CCM!
Team Lowassa Wazidi Kupigwa Chini Ubunge CCM!

Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc. … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
26Jul2015

0
Wiki Ya Mtikisiko: Lowassa na Timu Yake Wasubiriwa kwa Hamu UKAWA.......Zaidi ya Viongozi 950 Wa CCM Kutimkia CHADEMA Wiki hii
Wiki Ya Mtikisiko: Lowassa na Timu Yake Wasubiriwa kwa Hamu UKAWA.......Zaidi ya Viongozi 950 Wa CCM Kutimkia CHADEMA Wiki hii

Ni wiki ya mtikisiko. Hivi ndiyo unavyoweza kuelezea hali itakavyokuwa nchini kutokana na matukio makubwa ya kisiasa yanayotazamiwa kutokea ndani ya wiki inayoanza leo ambayo yanaweza kubadili mwelekeo wa siasa za Tanzania.  Hali hiyo inatokana n… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
26Jul2015

0
ACT-Wazalendo Kuvuna Wabunge Kutoka CCM na CHADEMA
ACT-Wazalendo Kuvuna Wabunge Kutoka CCM na CHADEMA

Baada ya vumbi la uchaguzi mkuu kuanza kumtika tumeona kura za maoni zinazoendelea kupigwa kutoka Chadema na CCM kwenye kila jimbo.Chadema wanachagua wagombea ili baadae watakapokubaliana na wenzao CUF, NCCR Mageuzi, NLD, itabidi baadhi ya Majimbo … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Jul2015
 
1
 
Top