0
 Shiza Kichuya apewa tunzo ya mchezaji bora wa mwezi September
Shiza Kichuya apewa tunzo ya mchezaji bora wa mwezi September

Jumapili ya October 13 2016, Makamu wa Rais wa Simba Kaburu alimkabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu wa mwezi September mchezaji Shiza Kichuya kabla ya mechi dhidi ya Toto Africans. Kichuya alisaidia mechi zilizo pita Simba kupata ushindi na kufu… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Oct2016

0
Renato ameshinda tuzo ya “European Golden Boy 2016”
Renato ameshinda tuzo ya “European Golden Boy 2016”

Mchezaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ureno, Renato Sanches, ambaye ana miaka 19, ameshinda tuzo ya “European Golden Boy 2016” akiwashinda wachezaji wenzake Marcus Rashford,Kinglsey Coman na wachezaji wengine waliokuwa katika kiny… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Oct2016

0
 Toni Kroos asaini mkataba mpya Real Madrid
Toni Kroos asaini mkataba mpya Real Madrid

Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani, Toni Kroos ameongeza mkataba mrefu ambao utaisha mwaka 2022 akiwa bado na Real Madrid. Toni ana umri wa miaka 26, hadi miaka saba ijayo, atakuwa anakwenda kustaafu soka au anaondoka kw… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
14Oct2016

0
Pogba: Napenda kocha Jose Mourinho anichezeshe mbele zaidi
Pogba: Napenda kocha Jose Mourinho anichezeshe mbele zaidi

Mchezaji ghali zaidi kwasasa duniani kiungo Paul Pogba amesema kuwa anapenda kocha Jose Mourinho amchezeshe mbele zaidi katika kikosi cha Man United. Tangu aliporejee katika klabu ya Manchester United kwa pauni milioni 89, Pogba amekuwa akichezesh… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
14Oct2016

0
 Hull city yamtangaza rasmi Phelan kuwa kocha mkuu
Hull city yamtangaza rasmi Phelan kuwa kocha mkuu

klabu ya Hull City imemtangaza rasmi Mike Phelan,kuwa kocha wa kudumu Phelan,54, amekuwa kocha wa muda wa klabu hiyo tangu mwezi julai mwaka huu kufuatia kocha Steve Bruce kuondoka klabuni hapo. Mwanzo mzuri katika ligi kuu ya England kwa kocha huy… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
14Oct2016

0
 Chelsea waingia mkataba mnono na Nike
Chelsea waingia mkataba mnono na Nike

Klabu ya Chelsea Alhamisi hii imetangaza rasmi kuwa wameingia mkataba na kampuni ya utengenezaji vifaa na jezi ya Nike,utakaoanza msimu wa 2017/2018. Imeripotiwa kuwa mkataba huo ni wa miaka 15 na una thamani ya pauni milioni 60 kwa mwaka, wakati … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
14Oct2016
 
 
Top