0
Makongoro Nyerere Awakera Wapiga Kura Kwa Matusi yake Jukwaani..Adai Ikulu Hakuna Makaburi, Lowassa Anaumwa Kuna Uwezekano Akafikia Ikulu
Makongoro Nyerere Awakera Wapiga Kura Kwa Matusi yake Jukwaani..Adai Ikulu Hakuna Makaburi, Lowassa Anaumwa Kuna Uwezekano Akafikia Ikulu

BAADHI ya wakazi wa mji wa Dodoma wameeleza masikitiko yao juu ya matusi na kashifa zinazotolewa na viongozi wa CCM dhidi ya wahasimu wao Chadema.Hali hiyo ilijitokeza juzi ambapo Makongoro Nyerere aliweka sera za CCM pembeni na kuanza kutoa kashf… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
27Sep2015

0
Magufuli Awataja LIVE WanaCCM Wanaomsaliti Huku Wakimsanifu Kuwa Wanamuunga Mkono
Magufuli Awataja LIVE WanaCCM Wanaomsaliti Huku Wakimsanifu Kuwa Wanamuunga Mkono

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, jana aligeuka mbogo baada ya kuamua kuwataja hadharani watu wanaohujumu kampeni zake kwa kujifanya mchana wako pamoja na usiku wakigeukia upande wa upinzani.Akiwahutubia wananchi … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
27Sep2015

0
ACT Yalia na Ukata wa Fedha za Kampeni
ACT Yalia na Ukata wa Fedha za Kampeni

Wakati zikiwa zimebaki siku 29 kuelekea uchaguzi mkuu, kampeni za mgombea urais wa chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira zinakabiliwa na uhaba wa fedha ambazo sasa zimebaki Sh. milioni mbili tu.Tangu mgombea huyo alipozindua kampeni zake Agosti 3… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
25Sep2015

0
Kauli ya UKAWA Kususia Uchaguzi Yaishtua NEC.
Kauli ya UKAWA Kususia Uchaguzi Yaishtua NEC.

ume  ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imeshtushwa na kauli  iliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kwamba watasusia uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Hata hivyo, Nec imetetea kauli iliyotolewa  na Mjumbe wa K… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
25Sep2015

0
Utafiti Mpya Wampa Ushindi Wa Asilimia 76 LOWASSA Dhidi ya Magufuli
Utafiti Mpya Wampa Ushindi Wa Asilimia 76 LOWASSA Dhidi ya Magufuli

VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimetoa matokeo ya utafiti uliofanywa sehemu tatu tofauti unaoonyesha mgombea wao wa urais, Edward Lowassa, atapata ushindi wa asilimia 76.Matokeo ya utafiti huo yalitolewa   Dar es Salaam jana… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
25Sep2015

0
Rais Kikwete Azungumzia Kauli za Magufuli Kuikosoa Serikali Yake.....Asema ni Haki Yake Kwa Kuwa Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Rais Kikwete Azungumzia Kauli za Magufuli Kuikosoa Serikali Yake.....Asema ni Haki Yake Kwa Kuwa Nchi Inahitaji Mawazo Mapya

RAIS Jakaya Kikwete, amesema hamshangai mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Magufuli kwa kukosoa utendaji kazi wa Serikali yake katika mikutano yake ya kampeni inayoendelea.Rais Kikwete, alitoa kauli hiyo juzi, wakati akizungumza … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
25Sep2015

0
Jamaa Aliyefanya Zoezi la Kura za Maoni Kwenye Box Kariakoo na Lowassa Kushinda Akamatwa na Polisi
Jamaa Aliyefanya Zoezi la Kura za Maoni Kwenye Box Kariakoo na Lowassa Kushinda Akamatwa na Polisi

Mtu mmoja huko Kariakoo  jijini Dar amekamatwa na Polisi kwa kuendesha zoezi lisilo rasmi wala lisilofuata kanuni, sheria na taratibu za nchi, kwa kupiga kura za 'chap chap' ili alinganishe matokeo atakayopata na yale yaliyotolewa na Twaweza hivi … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
25Sep2015

0
Sentesi 11 Ngumu MBOWE alizozitoa mbele ya Waislam Jana Siku ya Idd
Sentesi 11 Ngumu MBOWE alizozitoa mbele ya Waislam Jana Siku ya Idd

Viongozi wakuu wa umoja wa katiba ya wananachi UKAWA wakiongozwa na mwenyekiti wa chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA Mh FREMAN MBOWE pamoja na makamu mwenyekiti wa CHADEMA Profesa SAFARI na kaimu mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF ambaye … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
25Sep2015

0
Masanja: Uchungaji Si Mzaha, Afunguka Haya
Masanja: Uchungaji Si Mzaha, Afunguka Haya

MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na si… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Sep2015

0
LOWASSA Aeleza Kama Atakubali au Atakataa Matokeo Akitangazwa AMESHINDWA
LOWASSA Aeleza Kama Atakubali au Atakataa Matokeo Akitangazwa AMESHINDWA

ZIKIWA  zimebakia  siku 30  kabla  watanzania  hawajapiga  kura  ya  kumchagua  Rais,mgombea  urais  kwa  tiketi  ya  CHADEMA, Edward  Lowassa  ambaye  amekuwa  akieleza  imani  yake  kuwa  atashinda  kwa  kishindo, ameeleza  msimamo  wake  endapo… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Sep2015

0
Makanisa Matatu yachomwa Moto Bukoba Leo Septemba 22,2015
Makanisa Matatu yachomwa Moto Bukoba Leo Septemba 22,2015

Makanisa yaliyochomwa moto ni Pentecostal Assembilie of God (PAG) kata bakoba eneo la buyekera,Living Water International na Evangelical Assemblies of God (EAGT) kata ya Kibeta yote ya mjini Bukoba .Chanzo chake hakijafahamika ambapo wachungaji na… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
23Sep2015

0
Jack Wolper Awatupia Dongo Kina Wema Sepetu na Wenzake wa Kampeni ya Mama Ongea na Mwanao
Jack Wolper Awatupia Dongo Kina Wema Sepetu na Wenzake wa Kampeni ya Mama Ongea na Mwanao

ack Wolper Awatupia Dongo Kina Wema Sepetu na Wenzake wa Kampeni ya Mama Ongea na Mwanao...Soma Hapa Chini Dongo Lenyewe..… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
23Sep2015

0
Baada ya TWAWEZA kusema CCM inakubalika 66 %, haya ni maneno 15 ya Lowassa na 26 ya Zitto Kabwe
Baada ya TWAWEZA kusema CCM inakubalika 66 %, haya ni maneno 15 ya Lowassa na 26 ya Zitto Kabwe

Kuelekea uchaguzi mkuu October 25 2015 matokeo ya utafiti wa taasisi ya TWAWEZA yametolewa September 22 2015 Tanzania na kuonyesha Watanzania mbalimbali wanamkubali nani zaidi ambapo CCM imepata 66%, CHADEMA ikipata 22%, C.U.F 1%,ACT 0%, NCCR 0%, … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
23Sep2015

0
takwimu; CCM ndicho chama kinachopendwa zaidi na wananchi jionee
takwimu; CCM ndicho chama kinachopendwa zaidi na wananchi jionee

Takwimu zinaonyesha kwamba wananchi hawaelewi nafasi rasmi ya Ukawa22 Septemba, Dar es Salaam: Asilimia 62 ya wananchi wanasema kwamba wanajisikia wapo karibu zaidi na chama cha CCM kuliko vyama vingine. Aidha, walipoulizwa watawachagua wagombea w… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
22Sep2015

0
MAGUFULI AWAKUNA WANANCHI WA KARAGWE, APIGA PUSH UP JUKWAANI, WANANCHI WASHANGILIA
MAGUFULI AWAKUNA WANANCHI WA KARAGWE, APIGA PUSH UP JUKWAANI, WANANCHI WASHANGILIA

Kuonyesha kwamba yuko fiti ana anastahili kupewa ridhaa ya kuiongoza Tanzania katika awamu ya kipindi cha tano,Dkt John Pombe Magufuli aliwashangaza wananchi wa mji huo kwa kupiga push up zaidi ya tano jukwaani,mbele ya wakazi wa mji huo ambao wal… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
22Sep2015

0
Bukoba Nimewakubali..Mgombea wa CCM Magufuli Afunika Mbaya...Angalia Picha Hapa ilivyokuwa
Bukoba Nimewakubali..Mgombea wa CCM Magufuli Afunika Mbaya...Angalia Picha Hapa ilivyokuwa

Mgombea Urais wa wa Jamhuri ya Muunganano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe magufuli akiwahutubia wakazi wa Bukoba mjini kwenye kutano wa hadhara wa kampeni uliofamyika katika uwanja wa Gymkhana Bukoba mkoani Kagera kum… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
22Sep2015

0
Sumaye: CCM Kama Kuna Hirizi Zenu Ikulu, Mzitoe Mapema
Sumaye: CCM Kama Kuna Hirizi Zenu Ikulu, Mzitoe Mapema

Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Fredrick Sumaye, ametupa ‘Dongo’ kwa mahasimu wao kisiasa CCM, waanze kufungasha ‘virago’ mapema kwa kuwa mwaka huu ni wa UKAWA.Akizungumza jana na mamia ya wananchi Dar es salaam, … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
22Sep2015

0
Wafanyakazi waliofichua ukweli kuhusu kikao cha Dr. Slaa Serena Hotel wafukuzwa kazi
Wafanyakazi waliofichua ukweli kuhusu kikao cha Dr. Slaa Serena Hotel wafukuzwa kazi

Kama mnavyokumbuka mwezi huu tarehe 1 aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa aliitisha kikao cha waandishi wa habari pale Serena Hotel, ambapo mkutano huo ulirushwa LIVE na vituo vya televisheni vipatavyo vitano na radio kadhaa nazo zikarusha mk… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
21Sep2015

0
Magufuli Afunika Chato........Maelfu ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wake LEO
Magufuli Afunika Chato........Maelfu ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wake LEO

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa michezo wa Mazaina Chato tayari kuhutubia wakazi wa Chato.Umati wa wakazi wa Chato wakiwa wamefurika kwenye viwanja vya mkutano kwa ajili ya kumsikiliza Mgombea wa Ur… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
21Sep2015
 
123 ... 6»
 
Top