BAADHI ya wakazi wa mji wa Dodoma wameeleza masikitiko yao juu ya matusi na kashifa zinazotolewa na viongozi wa CCM dhidi ya wahasimu wao ...
Magufuli Awataja LIVE WanaCCM Wanaomsaliti Huku Wakimsanifu Kuwa Wanamuunga Mkono
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, jana aligeuka mbogo baada ya kuamua kuwataja hadharani watu wanaohujumu...
ACT Yalia na Ukata wa Fedha za Kampeni
Wakati zikiwa zimebaki siku 29 kuelekea uchaguzi mkuu, kampeni za mgombea urais wa chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira zinakabiliwa na u...
Kauli ya UKAWA Kususia Uchaguzi Yaishtua NEC.
ume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imeshtushwa na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman ...
Utafiti Mpya Wampa Ushindi Wa Asilimia 76 LOWASSA Dhidi ya Magufuli
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimetoa matokeo ya utafiti uliofanywa sehemu tatu tofauti unaoonyesha mgombea wao w...
Rais Kikwete Azungumzia Kauli za Magufuli Kuikosoa Serikali Yake.....Asema ni Haki Yake Kwa Kuwa Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
RAIS Jakaya Kikwete, amesema hamshangai mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Magufuli kwa kukosoa utendaji kazi wa Serikali...
Jamaa Aliyefanya Zoezi la Kura za Maoni Kwenye Box Kariakoo na Lowassa Kushinda Akamatwa na Polisi
Mtu mmoja huko Kariakoo jijini Dar amekamatwa na Polisi kwa kuendesha zoezi lisilo rasmi wala lisilofuata kanuni, sheria na taratibu za nc...
Sentesi 11 Ngumu MBOWE alizozitoa mbele ya Waislam Jana Siku ya Idd
Viongozi wakuu wa umoja wa katiba ya wananachi UKAWA wakiongozwa na mwenyekiti wa chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA Mh FREMAN MBOWE...
Masanja: Uchungaji Si Mzaha, Afunguka Haya
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji ...
LOWASSA Aeleza Kama Atakubali au Atakataa Matokeo Akitangazwa AMESHINDWA
ZIKIWA zimebakia siku 30 kabla watanzania hawajapiga kura ya kumchagua Rais,mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Low...
Makanisa Matatu yachomwa Moto Bukoba Leo Septemba 22,2015
Makanisa yaliyochomwa moto ni Pentecostal Assembilie of God (PAG) kata bakoba eneo la buyekera,Living Water International na Evangelical A...
Jack Wolper Awatupia Dongo Kina Wema Sepetu na Wenzake wa Kampeni ya Mama Ongea na Mwanao
ack Wolper Awatupia Dongo Kina Wema Sepetu na Wenzake wa Kampeni ya Mama Ongea na Mwanao...Soma Hapa Chini Dongo Lenyewe..
Baada ya TWAWEZA kusema CCM inakubalika 66 %, haya ni maneno 15 ya Lowassa na 26 ya Zitto Kabwe
Kuelekea uchaguzi mkuu October 25 2015 matokeo ya utafiti wa taasisi ya TWAWEZA yametolewa September 22 2015 Tanzania na kuonyesha Watanzan...
takwimu; CCM ndicho chama kinachopendwa zaidi na wananchi jionee
Takwimu zinaonyesha kwamba wananchi hawaelewi nafasi rasmi ya Ukawa 22 Septemba, Dar es Salaam: Asilimia 62 ya wananchi wanasema kwamba wa...
MAGUFULI AWAKUNA WANANCHI WA KARAGWE, APIGA PUSH UP JUKWAANI, WANANCHI WASHANGILIA
Kuonyesha kwamba yuko fiti ana anastahili kupewa ridhaa ya kuiongoza Tanzania katika awamu ya kipindi cha tano,Dkt John Pombe Magufuli ali...
Bukoba Nimewakubali..Mgombea wa CCM Magufuli Afunika Mbaya...Angalia Picha Hapa ilivyokuwa
Mgombea Urais wa wa Jamhuri ya Muunganano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe magufuli akiwahutubia wakazi wa Buk...
Sumaye: CCM Kama Kuna Hirizi Zenu Ikulu, Mzitoe Mapema
Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Fredrick Sumaye, ametupa ‘Dongo’ kwa mahasimu wao kisiasa CCM, waanze k...
Wafanyakazi waliofichua ukweli kuhusu kikao cha Dr. Slaa Serena Hotel wafukuzwa kazi
Kama mnavyokumbuka mwezi huu tarehe 1 aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa aliitisha kikao cha waandishi wa habari pale Serena Hotel, ...
Magufuli Afunika Chato........Maelfu ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wake LEO
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa michezo wa Mazaina Chato tayari kuhutubia wakazi wa Chato....