0
Jinsi punyeto inavyosababisha upungufu wa nguvu za kiume
Jinsi punyeto inavyosababisha upungufu wa nguvu za kiume

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
14Sep2016

0
Nina Ugonjwa wa Kupenda Wanawake Naweza Fanya lolote Nimpate Mwanamke...
Nina Ugonjwa wa Kupenda Wanawake Naweza Fanya lolote Nimpate Mwanamke...

Hili jambo kipindi cha nyuma sikuona kama ni tatizo lakini sasa naanza kuona ni tatizo. siku nimekaa nikapiga mahesabu ya idadi ya wanawake nliotembea nao ni zaidi ya 500 hao ndio ninawakumbuka. huwa nachanganyikiwa kabisa nikiona mwanamke....sija… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
28Aug2016

0
Jitibu Magonjwa 300 Kwa Kutumia Mti wa Mlonge
Jitibu Magonjwa 300 Kwa Kutumia Mti wa Mlonge

Mlonge au moringa oleifera kwa kiingereza umekuwa ukijulikana kama mti wa miujiza kwa karne nyingi katika baadhi ya nchi za Afrika, Asia na katika nchi za Caribbean. Mti huu umeripotiwa kutibu zaidi ya magonjwa 300 ikiwemo magonjwa mbalimbali sugu… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Jul2016

0
Ugonjwa wa figo na sababu za kushindwa kufanya kazi
Ugonjwa wa figo na sababu za kushindwa kufanya kazi

wapenzi na karibuni katika kipindi kingine cha Ijue Afya Yako. Kipindi ambacho hujadili na kuzungumzia masuala mbalimbali yanayohusu afya na tiba yakiwemo magonjwa na namna ya kujikinga nayo ili kuiwezesha jamii kuimarisha afya kwa ujumla. Katika kip… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
01Feb2016

0
Mambo Muhimu Ya Uchunguzi Afya Kwa Mwanaume
Mambo Muhimu Ya Uchunguzi Afya Kwa Mwanaume

Madaktari huunganisha habari unayotoa kutoka kwenye dalili unazohisi, historia ya maradhi yaliyowahi kukusumbua, uchunguzi wa mwili wako pamoja na kufanyiwa vipimo ili kugundua maradhi au hatari ya kupata maradhi fulani kama kisukari.Kupima afya ni m… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
01Feb2016

0
Tatizo la Nguvu za Kiume na Suluhisho lake
Tatizo la Nguvu za Kiume na Suluhisho lake

Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Muogope Mungu uzinzi ni dhambi kubwa sana.Katika kilele cha mwisho cha furaha katika maisha ya ndoa, kama inavyofahamika, ni sherehe inayopatikana … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
31Jan2016

0
Ufahamu ugonjwa wa ‘Mkanda wa jeshi’
Ufahamu ugonjwa wa ‘Mkanda wa jeshi’

MPENZI msomaji wa ukurasa huu wa afya, leo tuangalie ugonjwa unaojulikana kama mkanda wa jeshi. Tumekuwa tukishuhudia baadhi ya watu wenye ugonjwa huu wakionekana kuwa wana maambukizi ya VVU bila kuwa na uhakika wa afya zao au bila kutambua chanzo sa… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
31Jan2016

0
UGONJWA WA KISUKARI UNAVYOATHIRI MWILI
UGONJWA WA KISUKARI UNAVYOATHIRI MWILI

Haina mashaka yoyote kuwa vyakula vya nafaka vinanoga!  Au wewe unasemaje kuhusu wali mweupe, pilau, biriani?  Na bado hapo hujagusia chipsi, chapati, kitumbua, andazi, bagia na ugali wa sembe.Sina shaka yoyote ile kuhusu ubaya wa kubugia kwa wingi v… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
31Jan2016

0
Wahamiaji 2000 waokolewa Mediterranea
Wahamiaji 2000 waokolewa Mediterranea

Walinzi wa italia wanasema kuwa takriban wahamiaji 3,000 wako mashakaniWalinzi wa pwani wa Utaliano wanasema kuwa waliaongoza shughuli za kuwaokoa wahamiaji 2,000 hivi ambao walituma ishara ya kuwa taabani kwenye mashua nje ya pwani ya Libya. Mashua … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
24Aug2015

0
Kipindupindu Chatikisa Dar, Watatu Wafariki, 34 Vitandani
Kipindupindu Chatikisa Dar, Watatu Wafariki, 34 Vitandani

Wauuguzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala akitoa matibabu kwa wagonjwa wa kipindipindi waliolazwa katika kambi ya hospitali ya Mwananyamala iliyopo manispaa ya Kinondoni jijini Dar es saaam.Wauguzi wakiwa katika kambi ya dharura ya kutoa mat… Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
19Aug2015

0
21 Amazing Facts About Your Heart
21 Amazing Facts About Your Heart

Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
25Jul2015

0
MATATIZO YA MACHO: CONJUCTIVITS):
MATATIZO YA MACHO: CONJUCTIVITS):

Ni maradhi ya macho sehemu ya utando au ute sehemu ya conjuctiva, ambayo inaunganisha sehemu ya ndani ya jicho na kope. SABABU: Yanaweza kusababishwa na vumbi, moshi, upepo ulio na ubaridi, kuweza kutumia macho kwa muda mrefu kutizama kwa mfano … Read more »walumitz.blogspot.com

Read more »walumitz.blogspot.com
23Jul2015
 
1
 
Top