Jumapili ya October 13 2016, Makamu wa Rais wa Simba Kaburu alimkabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu wa mwezi September mchezaji Shiza K...
Renato ameshinda tuzo ya “European Golden Boy 2016”
Mchezaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ureno, Renato Sanches, ambaye ana miaka 19, ameshinda tuzo ya “European Golden Boy ...
Mwanzilishi mwenza Roc-A-Fella Records aeleza alivyochukulia dongo la Kanye West la Jay Z
Mwanzilishi mwenza wa label ya Roc-A-Fella Records, Kareem ‘Biggs’ Burke amezungumzia dongo la Kanye West kwa swahiba wake, Jay Z. “Nil...
Serikali ya Zanzibar yapiga marufuku siasa katika nyumba za ibada
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepiga marufuku wanasiasa kutumia nyumba za ibaada kufanya kwa shughuli za kisiasa. Tamko hilo limeto...
Ciara na Russell Wilson wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza
Ciara na mumewe Russell Wilson wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza – kwa mujibu wa mtandao wa E! News. Mmoja wa watu wa karibu wa fam...
Miaka 17 Bila Nyerere: Mwinyi Asema Taifa Limepoteza Mwelekeo, Asikitishwa na Uwepo wa Panya Road
Wakati Tanzania leo ikiadhimisha kumbukumbu ya miaka 17 tangu kufariki kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Rais mstaafu wa Aw...
Rais Magufuli afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Biashara wa China kuhusu ujenzi wa reli ya kati
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 14 Oktoba, 2016 amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu ...
TCRA Yapiga Marufuku Uuzwaji wa Samsung Galaxy note 7 Hapa Nchini
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepiga marufuku uingizaji na usambazaji wa simu za mkononi za Smartphone Samsung Galaxy note 7 kw...
Toni Kroos asaini mkataba mpya Real Madrid
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani, Toni Kroos ameongeza mkataba mrefu ambao utaisha mwaka 2022 akiwa bado na ...
Nyerere Day: Mastaa wa muziki na filamu wamuenzi Mwalimu Nyerere kwa nukuu hizi
Leo watanzania wanaadhimisha miaka 17 toka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amefariki dunia. Alifariki tarehe 14 Oktoba, 19...
Video: Davido Ft. Tinashe – How Long
Msanii wa Nigeria, Davido ameachia video mpya ya wimbo unaitwa “How Long”, akiwa amemshirikisha mwimbaji Mmarekani mwenye asili ya Zimbabwe...
Pogba: Napenda kocha Jose Mourinho anichezeshe mbele zaidi
Mchezaji ghali zaidi kwasasa duniani kiungo Paul Pogba amesema kuwa anapenda kocha Jose Mourinho amchezeshe mbele zaidi katika kikosi cha ...
Wanaotumia kope bandia hatarini kupata upofu wa macho
Wanawake wanaotumia kope bandia wanahofiwa kuwa na hali ya hatari ya kupata upofu wa macho kutokana na gundi wanazotumiwa kutumia kope hizo...
Picha: Tunda Man afanya ‘Send-off’ na mrembo huyu
Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection, Tunda Man pamoja na mpenzi wake wa muda mrefu wamefanya ‘send-off’ wakijiandaa kuingia katika ...